Rekebisha haya maeneo,
1 jiachie sauti yako iwe free japo kuna ile kubana pua ila katika kubana pua ipe Uhuru sauti yako ifanye yake, yani usiwe unabana pua huku unaban na sauti.
2 usiogope jiamini jivishe ile hali ya kwamba nawew nimzoefu, maana sauti inaonyesha ulikuwa unaogopa san pia hukuwa...
habarini wandugu, nina tv yangu ya mchogo ilikuwa inaonesha rangi vizuri ila saivi inaonesha rangi ya blue iliyochanganyikana na nyeusi kiujumla inaboa kinoma noma, sasa juzi niliileta kwa fundi nkamwahidi ntaichukua baada ya siku mbili sasa leo nimefika hapa kwake naona bado anahangaika nayo...
habarini wakuu wa startimes, je kwenye decoder yangu ya startimes naweza rekodi kipindi? maana pale nyuma ya decoder nimeona sehemu ya kuchomeka flash sasa sjui niya flash kwel au? nsije nkaharibu mambo buree, msaada tafadhali.
yan hii cjui ndo ile nlokuwa nkiisubiriaga!! make nna malengo ya kutafuta mwanamke wa almost 40s and 50s awe dem wangu bcoz vdada ckuiz siyo kabisa and am 24 right now, so mheshimiwa mleta mada naomb tufanye buznes juu ya hlo posa utakula wewe, so tukutane pm.
daah ebana den umetisha, ila kwa kiasi kdogo npo upande wako, mie nimezaliwa katika familia ya kikristu na nikiwa na mwaka 1 nkabatizwa kama mkatoliki, ila kuanzia miaka 4 nyuma mpaka saiv huwa nasaligi nyumban make nmekuja kuona dini zishakuwa business.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.