Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,626
- 33,495
hello JF,
leo nina wazo,kwa nini nchi yetu isigawanywe kwa zones mfano kaskazini,kusini etc,
kuwe na viongozi wa juu kwa hizo zones,
kila zone Iwe independently from each other,
Rais ndio awe mkuu wa zones zote,
wakuu,kwa mfano Rais anachofanya kuendeleza huko Chato,ndio mfano wa kuongoza kizone
kwa huo mfano,unaona umuhimu wa kuwa na kiongozi kila zone,kucreate balance .....na kupunguza gap,kwa zile sehemu zisizoendelezwa kabisa na ziilizoendelezwa,
wakuu,mnaonaje?
leo nina wazo,kwa nini nchi yetu isigawanywe kwa zones mfano kaskazini,kusini etc,
kuwe na viongozi wa juu kwa hizo zones,
kila zone Iwe independently from each other,
Rais ndio awe mkuu wa zones zote,
wakuu,kwa mfano Rais anachofanya kuendeleza huko Chato,ndio mfano wa kuongoza kizone
kwa huo mfano,unaona umuhimu wa kuwa na kiongozi kila zone,kucreate balance .....na kupunguza gap,kwa zile sehemu zisizoendelezwa kabisa na ziilizoendelezwa,
wakuu,mnaonaje?