Mkuu, hapa tunajadiliana kwa uwazi, chagua eneo ambalo wewe hukubaliani nalo na utoe hoja zako mbadala watu wazisome mwenye kuchangia achangie, Sasa ukitaka tushindane kwenye Elimu itasaidia nini?, Japo ninajua hufikii hata robo ya elimu niliyokua nayo, muhimu sio vyeti, muhimu ni maarifa, weka...