Watu wanashindwa kutofautisha na kati ya web developer na designer, developer ndio anahitajika kujua code, ila designer kazi yake ni kutengeneza muonekano wa website, na kufanya ivutie kwa watazamaji. Na pia uzuri wa website sio picha, ni mpangilio wa rangi na muonekano wake, japo kuwa hata...