Recent content by Josse kongolo

  1. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania Ukiwa na Milioni 10 leo, utachagua kufanya nini kati ya shughuli hizi tatu?

    Wadau siyo vzr kuanzisha maada tofauti kwenye uzi wa mtu, lakini naomba maelekezo kuhusu hizi guta za kichina zinazotumia umeme bei zake na ustahimilivu wake pamoja na changamoto zingine na kama kuna maelekezo ya ziada yatanifaa zaidi! asante
  2. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania HOJA Baada ya Fao la Kujitoa Kurejeshwa kisheria, Serikali imekuja na Mbinu mpya za Kuzuia Wanufaika Wasipate Mafao Yao

    Hapo sina majibu ila nahisi kuna mazingira hayapo sawa kuna watu inachukua muda mrefu sana kupata hela yao na wengine ni fasta tuu sjw tofauti ni nn
  3. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania HOJA Baada ya Fao la Kujitoa Kurejeshwa kisheria, Serikali imekuja na Mbinu mpya za Kuzuia Wanufaika Wasipate Mafao Yao

    Mwanangu watu wengi wanadai mkoani ndo inakua haraka sana kuliko dsm kwa sababu dsm watu ni wengi kuliko mkoa sijajua wewe ni sababu gan zimefanya ichukue muda wote huo
  4. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania HOJA Baada ya Fao la Kujitoa Kurejeshwa kisheria, Serikali imekuja na Mbinu mpya za Kuzuia Wanufaika Wasipate Mafao Yao

    Baada ya kupewa termination letter walikaa siku 30 then wakafungua madam ndani ya mwezi mmoja wakachukua hela yao tena walifungulia pale ubungo
  5. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania HOJA Baada ya Fao la Kujitoa Kurejeshwa kisheria, Serikali imekuja na Mbinu mpya za Kuzuia Wanufaika Wasipate Mafao Yao

    Mttalam mbona inafunguka mimi binafsi nasubili miezi mitatu ipite lakini kuna jamaa zangu ambao walitakiwa kupewa ndani ya mwezi wameshapewa na kuna jamaa yangu mwingine kajaza online alipomaliza tuu ndani ya siku tatu wakamwita kwenda kuweka dole gumba
  6. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania Mtandao gani kwa sasa una coverage nzuri?

    Mix by yas japo hili jina limekaa kikuda ila kwa sasa wapo karibu kila kona hadi kiteto umaisaini
  7. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania JE, UNAHITAJI UJUZI WA KOMPYUTA LAKINI MUDA WA KWENDA CHUONI NI MDOGO?

    Next month nakuja dsm nitakutafuta hii imekua changamoto kwangu kama hse kuandaa hizo excel nakuja tuyajenge mwanetu
  8. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

    Oyah maeneo ya boko naweza pata room ya laki na nusu chumba na sebule
  9. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania MCHEZO MPYA WA MADEMU WA SIKU HIZI VIPI UMEUSOMA?

    Na usipige simu ya pili kama ya kwanza haikupikelewa
  10. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania Sikiliza hapa Dj mixing /non stop

    Weka vituu
  11. Josse kongolo

    JamiiForums Tanzania Usiruhusu jamii ikupumbaze ukakubali kuwa retirement plan.

    Natafuta ajira at his prime thank you mate
Back
Top Bottom