Recent content by Joseph kimlio

  1. J

    JamiiForums Tanzania Nabii Tito akamatwa na Polisi Dar

    Kamateni na hawa wakora wanaohubiri katika vìtuo vya mabasi. Wanakera.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Siku Ukijua Kinachokutokea Usiku, Akili Yako Itaruka!

    Kuna dawa ukipaka usoni mara tatu kwa kunuia, utaona jinsi vitu vilivyo. Unavyoviona sivyo vilivyo. Amini usiamini.Ila usiitumie hiyo dawa kwani utakosana na kila mtu.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Watu wanaojua kuwa uchawi upo ndio wanaoishi maisha mazuri hapa duniani. Wanaosema "namuachia Mungu" wana maisha magumu sana.
  4. J

    JamiiForums Tanzania Hivi wazungu na Waasia huwa wanatuchukuliaje sisi waafrika.

    Wanatuona "ziro brain" zaidi ya zuzu.
  5. J

    JamiiForums Tanzania Unamkana Allah, lakini unajiita Mwana Adam?

    Sio mbaya, Allah kasukwa na watu, mtafute Mungu wa kweli kupitia jadi yako
  6. J

    JamiiForums Tanzania Asusiwa chakula msibani kisa huwa hali kwenye misiba ya wengine

    Nani alimwambia apike? Kuzika na kusepa, hakuna kula msibani.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Tumsifu YESU KRISTO jumamos ya kesho tarehe 14 tutasherekea kupalizwa mbinguni kwa mama yetu HANGAYA bikira mariam

    Cha ajabu utamkuta hata professor (sayansi) anaamini. Ajabu utamkuta hata professor anaamini.
  8. J

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Ni sawa na kusema chakula fulani ni haramu, mbona kinatumiwa na watu wanadunda tu. Kunyweni kwa ustaarabu bila kuzidisha. Ni kiburudisho ambaco hata Yesu alikibariki.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Wadau, ni kiwanja gani kizuri Dar kwa sasa? 🍻🎶

    Karibu "matako bar" hapa Kerege.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Hali ya Hewa ya Leo ya Dar inashawishi sana.

    Inashawishi kivipi? Fafanua.
  11. J

    JamiiForums Tanzania LATRA: Mabasi yote yaishie Stendi ya Magufuli na Mbagala

    Laura tupieni macho Bunju - Kawe, jioni wanaishia Tegeta kibaoni. Baadhi sio yote, ni usumbufu.
  12. J

    JamiiForums Tanzania Hatukuwa tofauti sana na Singapore; kwanini Nyerere aliamua kujirundikia madaraka ya Urais ikawa kama ufalme?

    Katiba mpya itapunguza madaraka ya raisi, akimaliza mda wake anaweza shtakiwa.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Rwanda wamewafikisha Mahakamani walioruhusu pombe haramu, je Tz tunasubiri nini?

    Kumbe kuna pombe chafu!! Kuna wakati nakunywa serengeti kesho yake naharisha nikawaza ni "flat" kumbe ni chafu!!
Back
Top Bottom