Kuna dawa ukipaka usoni mara tatu kwa kunuia, utaona jinsi vitu vilivyo. Unavyoviona sivyo vilivyo. Amini usiamini.Ila usiitumie hiyo dawa kwani utakosana na kila mtu.
Ni sawa na kusema chakula fulani ni haramu, mbona kinatumiwa na watu wanadunda tu. Kunyweni kwa ustaarabu bila kuzidisha. Ni kiburudisho ambaco hata Yesu alikibariki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.