Recent content by Joseph kimlio

  1. J

    JamiiForums Tanzania Katibu mwenezi CCM: Kihongosi out, Manara inn

    Yote haya ni katiba imetuponza.
  2. J

    JamiiForums Tanzania Diwani wa CCM mbaroni kwa kuendesha gari kwa uzembe na kusababisha kifo cha dereva Bodaboda

    Kawaida mtu akifa hakuna kesi, aliyegogwa asipokufa atakuendesha. Huenda kuna kinachotolewa kisiri ili kumaliza maisha ya aliyejeruhiwa.
  3. J

    JamiiForums Tanzania Serikali kutaka kuhamisha watu Temeke ili kupisha Bandari Kavu ni ukatili wa kiwango cha juu. Hii Serikali ni ya Kijamaa kweli?

    Kama Loliondo waliondolewa watu, Temeke itashindikana?
  4. J

    JamiiForums Tanzania Swala alionekana anakimbia Kama kichaa!! Tembo akahamaki

    Hii ni kali!! Hebu fafanua!
  5. J

    JamiiForums Tanzania HOJA Je, ni sawa na haki kwa Wanafunzi kulishwa Makande kila siku wanapokuwa shule?

    Hapana, wachanganye na ugali
  6. J

    JamiiForums Tanzania Kiti kung'ang'aniwa 2030

    Tujitahidi Watanzania, tuweke mwenye damu ya JPM.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya kuwa msomi na mfanyabiashara ni yupi ana advantage kubwa katika maisha ??!

    Anza kwa kufanya utafiti, mfanya kazi na mfanya biashara ni nani mwenye pesa? Kamfano kadogo, muuza chips (sehemu inayolipa) na mwalimu ni nani mwenye pesa?
  8. J

    JamiiForums Tanzania Hakikisha Unaoa bikra

    Ili awe mke wako kwani ni wewe umeanza. Umefungua njia mwenyewe.
  9. J

    JamiiForums Tanzania Askofu Josephat Gwajima: Mungu hachelewi kutimiza ahadi yake. Utekaji umezidi. Maisha ya watu yanaharibika. Mungu atajibu kwa upanga

    Mungu alishakupa akili, ni wewe mwenyewe utajibu kwa kutumia akili yako.
  10. J

    JamiiForums Tanzania Wewe kama baba unayemlea mtoto wako wa kike bila mama yake, ukaribu wako na mtoto unatakiwa uwe na mipaka akiwa na umri gani??

    Akivunja ungo punguza umbali, kama mita mbili kutoka alipo.
  11. J

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Ahame na nyumba yake awaachie kiwanja chao
  12. J

    JamiiForums Tanzania Muda Haumsubiri Mtu

    Hivi mda ni nini? Na ulianza lini? The problem of time and space.
  13. J

    JamiiForums Tanzania Changamoto za ndoa

    Ndio maana kukawa na ndoa za mkataba. Alichounganisha Mungu asitenganishe binadamu ni fix tu. Tukichokana kila mtu anaanza kivyake.
  14. J

    JamiiForums Tanzania Kwanini asilimia kubwa ya "bosses" wa kizungu wana roho nzuri na waumgwana kuzidi Waafrika, waarabu, wachina na wahindi? Malezi bora au ni nini?

    Wazungu wengi hawana blaaablaaa, wanafuata sheria. Ila ufuate sheria ndio uelewane na boss.
Back
Top Bottom