Ndio maana MUNGU alitoa amri zote lakini alipofika kwenye suala lakuoa au kuolewa, alikaa kimya hakusema lolote kuhusu umri wa kuoa au kuolewa. Kwahiyo ni akili kichwani mwako
Anazovuna FREEMANSON atatoa tu, kwahiyo hata TRA wanajua kwamba pesa ipo pale na lazima atoe tu, si anajifanya simba? Ikishindikana wachangishane na kibibi chake Z watoe hizo pesa.
Alisema hakuna wakumnyamazisha sasa aendelee na mbwembwe zake na jeuli zake tumuone! Alifikili Tanzania yote inatokea KOROMIJE!? Hapa lazima aisome namba kisawasawa, nakuisoma namba siyo lazima uisomeshwe naccm, raia wenyewe wanakusomesha namba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.