Halotel ni wababaishaji siku hizi

big IQ

JF-Expert Member
Dec 16, 2012
491
892
toka saa nne nataka niweke salio nijiunge na kifurushi cha usiku internet vocha haiingii wananiletea ujumbe eti mtandao unatumika kwa sasa.hawa wamezidiwa na mzigo wa wateja tayari na mitambo yao haina nguvu,kwasababu ni nani huyo anayetumia mtandao kiasi kwamba wengine tusubiri mpaka amalize?
Screenshot_2017-05-08-00-20-23.png
 
hiyo hadi kesho mkuu pole,africa ni ile ile kamwe haitokaa ibadirike....uzao wetu umetokea kipindi kibaya sana...
 
halotel wanakera kupita maelezo. kwanza kile kifurushi chao cha siku moja walikuwa wanatoa MB 2000 wamepunguza, shilingi 2000 unapata MB 1500 tu. nasubiri tu kuhamia TTCL.
 
toka saa nne nataka niweke salio nijiunge na kifurushi cha usiku internet vocha haiingii wananiletea ujumbe eti mtandao unatumika kwa sasa.hawa wamezidiwa na mzigo wa wateja tayari na mitambo yao haina nguvu,kwasababu ni nani huyo anayetumia mtandao kiasi kwamba wengine tusubiri mpaka amalize?View attachment 506000
Ujumbe wa kwenye hiyo picha unamaanisha km umekosea menyu ya kujiunga na sio kuongeza salio.. mfano kujiunga *148*66# ww ukaweka *148*55# wakati laini yako sio ya chuo...
 
toka saa nne nataka niweke salio nijiunge na kifurushi cha usiku internet vocha haiingii wananiletea ujumbe eti mtandao unatumika kwa sasa.hawa wamezidiwa na mzigo wa wateja tayari na mitambo yao haina nguvu,kwasababu ni nani huyo anayetumia mtandao kiasi kwamba wengine tusubiri mpaka amalize?View attachment 506000
wateja wamekuwa weng na hasa mijin sasa kama hawakujipanga itakula kwao, bora ttcl
 
Kweli ikifika saa sita usiku hako ndiko kamchezo kao, sjui wanakuwa wanatuhesabia garama tulizotumia mchana kutwa!!?
 
Manga. Mkini hoja, kuna cku Kama dk 30 iv walikuwa wananijibu cm haijasajiliwa so sikuweza kupiga cm muda huo, Customer care hawapatkan muda mrefu. Yaan ni majanga
 
toka saa nne nataka niweke salio nijiunge na kifurushi cha usiku internet vocha haiingii wananiletea ujumbe eti mtandao unatumika kwa sasa.hawa wamezidiwa na mzigo wa wateja tayari na mitambo yao haina nguvu,kwasababu ni nani huyo anayetumia mtandao kiasi kwamba wengine tusubiri mpaka amalize?View attachment 506000
toka saa nne nataka niweke salio nijiunge na kifurushi cha usiku internet vocha haiingii wananiletea ujumbe eti mtandao unatumika kwa sasa.hawa wamezidiwa na mzigo wa wateja tayari na mitambo yao haina nguvu,kwasababu ni nani huyo anayetumia mtandao kiasi kwamba wengine tusubiri mpaka amalize?View attachment 506000
toka saa nne nataka niweke salio nijiunge na kifurushi cha usiku internet vocha haiingii wananiletea ujumbe eti mtandao unatumika kwa sasa.hawa wamezidiwa na mzigo wa wateja tayari na mitambo yao haina nguvu,kwasababu ni nani huyo anayetumia mtandao kiasi kwamba wengine tusubiri mpaka amalize?View attachment 506000
mkuu mbona tatizo dogo tu mpaka uanzishe uzi waulize wanaotumia tigo ukizingatia Halotel wapo vizuri mda wote H plus wote
 
Halotel wana Dada mmoja wa customer care mlimani city, yani ni bure kabisa , hajui Ata technicalities za vifurushi, ye kisa kaambiwa mzuri basi. Yani anawaaribia image
 
Back
Top Bottom