Mbulu.mbunge akonaay wakati mgumu kutetea nafasi yake ya ubunge.apata upinzani mkubwa ndani ya chama chake cha chadema,tetesi nilizopata naye asema atatetea nafasi yake kwa chama kingine kiitwacho ddc wajamaa.
Mchumi na uwakilishi wa masuala ya wananchi kwa serikali.ni wapi na wapi.ubunge sio ajira mtoa mada.ila ubunge ni dhamana tu ya kuwakilisha wananchi na ushiriki wao katika kupata maendeleo katika jimbo katika nyanja zote za kijamii.kiuchumi.kiutamaduni na hata kisiasa na utatuzi wa matatizo ya...
Huduma za jamiii jamani ziwafikie wanachi naungana sekretariet ya mkoa kwa mapendokezo yao kuugawa mkoa wa tabora ni mkoa mkubwa sana.wewe ambae unabisha bisheni kwa hoja jamani na so kujibu hovyo kama hamjisikii kuchangia mada
Ya msingi kama hiyo ni afadhali ukalale tu
Bado hayajasalimu amri tu hayo magaidi huko amboni? Maana jeshi letu la wananchi wa Tanzania huwa wanalalamika kukaa kambini hadi wanastaafu hata bila kupigana vita na wa hamu ya vita kweli kweli tumeona jeshi letu likienda Kongo na sudani kutuliza ghasia.sasa iweje hilo sakata LA tanga huko...
Jamani makampuni haya mawasiliano yanatuibia watanzania jamani kila kukicha wanapandisha gharama za mawasiliano.hivi sasa mb za voda zimeshuka kwa kiwango kikubwa sana ilhali uchumi Wa mtanzania bado haujakua uko pale pale,kwa kweli hakuna mtandao afadhali na majuzi Mh naibu Waziri wa wizara ya...
Uchaguzi Wa mwaka huu binafsi nawataka na kuwaasa wananchi mjitokeze katika kujiandikisha katika daftari LA kudumu LA wapiga kura katika maeneo ambayo mnaishi kupiga kura ni haki yako kama RAIA Wa taifa hili.nenda kajiandikishe sifa uwe na miaka 18 na kuendelea.uwe mtanzania.uwe na akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.