Naomba kujua Choo kinapojaa kinyesi kinatapishwa vipi na je mfumo huo unafaa kuwekwa kwa matumizi ya watu wengi kama vile guest house, shule au stand za abiria...pia nijulishwe inachukua eneo la ukubwa gani na je inaunganishwa pamoja na maji ya bafuni?
Wakubwa salamu natumai mu wazima naombeni msaada wenu ni nini kinasababisha kuwa na uvimbe kwa mwamaume pembeni ya ume na pia ni kitu gani kinasababisha uume kupata majeraha ya michubuko hata bila ya kufanya mapenzi na je tatizo hili linatibika maana nahisi uume unakosa nguvu naombeni ushauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.