Wanakula tsh ngp kwa mwez mkuu,,,na unawalisha gram ngp per day wakiwa na miez mi3....tubadirishane ujuz nimeestimate cause chotara 200wa umri huo binafs huwa natumia lak 2 per month
1500*500=750000
Chakula mwez wa kwanza 79500(broiler starter crumble)x4=318000
Mwez wa pili mchanganyo wa laki 4
Mwez wa tatu mchanganyo wa laki 4
Mwezi wa nne mchanganyo wa laki 4
Antibiotics +chanjo + maji+usafili kwa muda wote miez minne max laki3....sure kwa 2.5m anatoboa
Japo io price yke...
Katika dunia ya sasa na kuongezeka kwa kampuni nyingi za upimaji ardhi na kuuza ardhi real estate. Ni fursa kubwa kwa serikali na wizara ya ardhi kufanya jitihada ya kuboresha huduma ya upimaji haswa katika miji mikuu, na kuwapatia hati wamiliki wake ili kuongeza source ya mapato kwa serikali...
Hili jambo ni mtambuka ... Sio jambo la ajabu agharabu kwa vijana kupitia na kukumbana na hali io + hatia ,inayokufanya utamani kuacha. Ni ngumu sana kuacha hali kama hio ila kama umeweka nia ni rahisi ushauri wangu
1. Review your social life
2.jitahid kumpata mtu mmoja wa kuwa naye katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.