Recent content by JOSE KASANO

  1. J

    Uhamisho wa watumishi kwenye PEPMIS kutoka idara moja kwenda nyingine

    Wadau nawasalimu kwa jina la Bwana. Kwanza nianze kwa kuipongeza Serikali yetu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuanzisha mifumo ya kielektroniki kwa ajili ya kurahisisha utoaji wa huduma kwa wananchi kwa karibu na kwa wepesi zaidi. Pili ni kuhusu mfumo wa watumishi wa Umma maarufu kama...
  2. J

    Rais Samia, tafadhali usisaini marekebisho ya Sheria ya Kukata Watumishi 10% ya Mishahara. Huo ni mtego mbaya sana kwako

    Inasikitisha sana kuona Bunge la Tanzania likipitisha Muswada wa marekebisho ya Sheria ya Mifuko ya Hifadhi ya Jamii kwa watumishi wa Umma kukatwa asilimia 10 ya mishahara yao kuchangia mifuko hiyo. Kitendo hicho kitaleta athari kubwa sana kwa watumishi wa umma ambao wanachekelea kupandishwa...
  3. J

    Vibali vya uhamisho kwa watumishi wa umma

    VIBALI VYA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA E Mungu Muumba mbingu na nchi,umeiwekea Dunia vitu vyote wakiwemo Wanadamu.Umewapa wanadamu uwezo wa kuongoza na kutawala viumbe wengine. Twakuomba katika kuongoza na kutawala, uwajalie viongozi wetu wa Tanzania afya njema, Hekima na Busara ili pamoja...
  4. J

    Vibali vya uhamisho kwa watumishi wa umma

    VIBALI VYA UHAMISHO KWA WATUMISHI WA UMMA:- E Mungu Muumba mbingu na nchi,umeiwekea Dunia vitu vyote wakiwemo Wanadamu.Umewapa wanadamu uwezo wa kuongoza na kutawala viumbe wengine.Twakuomba katika kuongoza na kutawala,uwajalie viongozi wetu wa Tanzania afya njema ,Hekima na Busara ili pamoja...
  5. J

    Waziri wa Elimu Prof. Mkenda, sisitiza umuhimu wa kutowabakiza watoto shule kipindi cha likizo

    Habari wanabodi, Bila shaka kila mmoja wetu anafahamu pilikapilika za wanafunzi kusoma shuleni. Imekuwepo tabia ya baadhi ya shule kuwabakiza wanafunzi kipindi cha likizo kwa kigezo cha kuwaandaa na mitihani ya taifa. Kitendo hicho ni kinyume na sera pamoja na miongozo ya elimu inayomuhitaji...
  6. J

    Rais Samia, isaidie Bodi ya Ununuzi na Ugavi wa Umma (PSPTB)

    Bodi ya wataalamu na Ufundi wa Ununuzi wa Umma ni miongoni mwa Bodi muhimu zinazosimamia utaalamu hapa nchini.Bodi hii inahusika katika kuhakikisha wataalam wanaosimamia shughuli za Manunuzi hapa nchini wanakuwa na ujuzi pamoja na weledi wa kutosha katika kufanya shughuli za Manunuzi ya Umma...
  7. J

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    Council of Residence ni halmashauri ya makazi (unakoishi)
  8. J

    TAMISEMI yatangaza Nafasi za kazi 4549 kwa Walimu wa Shule za Msingi na Sekondari

    WATAALAM WA IT TAMISEMI WAREKEBISHE MFUMO MAANA HAUFUNGUI.HATA UKITENGENEZA ACCOUNT LOG IN NI SHIDA HAIONESHI CHOCHOTE, NAMBA ZA HELP DESK ZOTE HAZIPATIKANI.TAFADHALI LISHUGHULIKIE HILI IKIWA NI PAMOJA NA KUTOA MAELEKEZO NAMNA YA KUTENGENEZA ACCOUNT HASA USERNAME KAMA NI NAMBA YA FORM IV AU MAJINA
  9. J

    Code za TCU ni hatari bora hata kodi ya nyumba

    Cha kufanya toa taarifa kwa ADM WA chuo unachopenda
  10. J

    TCU wamefeli kutumia CODES, kinachofanyika ni chuo husika wanapiga simu kwako moja kwa moja kuthibitisha kama waenda chuoni hapo

    CODES ZINAZOTUMWA NA TCU ZINAGOMA KATIKA kuconfirm. Angalia ninavyoambiwa baada ya kuingiza code na kubonyeza CONFIRM Fail to connect to resources, please check your internet connection or contact help desk !!
  11. J

    Msaada: Kuhamishiwa mshahara kituo kipya cha kazi

    Wasiliana na UTUMISHI ndio wanaoapprove data.Utahudumiwa vizuri na utafurahi sana.
  12. J

    Msaada: Nimekwama kwenye hatua baada ya Payment wakati wa kufanya Application UDOM

    Activate kwa kuingiza hizo code za muamala tena ikisumbua wasiliana na admin wa UDOM.
  13. J

    Tuliulizwa swali, "JamiiForums inakuingizia shilingi ngapi?”

    Majibu yote ni sahihi,Jf inasaidia kupunguza msongo wa mawazo kwa watu wengi.Yapo mawazo mbadala yanayowasaidia watu kuendelea mbele na kutokata tamaa. Kipindi chote ambacho jf haikuwa hewani wapo watu waliougua maradhi ya akili.Jf big up
  14. J

    NMB litazameni hili suala upya

    Benki ya NMB mnapaswa kuwa serious kama wenzenu wa CRDB hasa katika kutoa huduma ya salary advance kwa Wafanyakazi - Mnadai kuwa walengwa(wafanyakazi) hawana vigezo vya kupewa huduma hiyo ilihali kiasi wanachoweza kuchukua kinaonekana wazi. - Wateja walianza kuhamia kwa kasi CRFB kwaajili ya...
  15. J

    Utumishi Portal hatimaye yafunguliwa

    Kwa watumishi wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi, mfumo wa utumishi portal kipengele cha kubadilishana kituo, kilikuwa kinasumbua hasa sehemu za kuingiza mkoa na wilaya zimefungukiliwa.Kwa hiyo watumishi wenye uhitaji wa kubadilishana vituo vya kazi,jazeni mkakutanishwe na wenzenu.
Back
Top Bottom