Code za TCU ni hatari bora hata kodi ya nyumba

Code za TCU ni hatari bora hata kodi ya nyumba

Wanatusema eti tunashindia chipsi mara dada zao hawatupendi , mara round moja chali , wakati dada zao wakija kufanya kazi mjini wanarudi wameshiba kitumbo , tumechoka sana bora tungekua tunasemwa na wanawake lakini wanaume wa mkoani ndio wanaongea sana
hadi watie adabu....TCU hatuendi na tukioenda hatusemi tukichoambiwa,mmezd michambo aisee....njoon dar kwa miguu
 
Kwa ambae hajatumiwa code, au code inagoma awasiliane na chuo husika atashughulikiwa. Mimi nilikuwa mmhanga wa hilo kwa kijana wangu. Tukajipanga kwenda TCU, lakini kupitia muongozo walioutoa TCU september 7 nikafanya mawasiliano na chuo husika wakaniconfirm wao.
 
Matatizo ya kutokua na ndugu Dar es salaam ndio hayo , ungekua na ndugu usingekua unaomba watu wa dar es salaam wakakuwakilishe
 
Naomba msaada wako ndugu nimepeleka barua ya kunitoa kwenye system tarehe 9.8.2018..had Leo Bado hata sjui nfanyaj na chuo nilichoomba naambiwa ninacode namba ya chuo Cha awali
 
Tareh 9.8.2018..nilpeka barua ya kucancell jina langu katika chuo nilchokua nasoma awal na ilipofika ya kuapply vyuo nkaappy Tena chuo kimoja tu lakin tcu Bado hawaja kancel jna langu Mana kile chuo nilichomba bado naambiwa ninacode namba ya chuo nilchokua nasoma mwazo Apo ndo shida ilipo ndigu
 
Tareh 9.8.2018..nilpeka barua ya kucancell jina langu katika chuo nilchokua nasoma awal na ilipofika ya kuapply vyuo nkaappy Tena chuo kimoja tu lakin tcu Bado hawaja kancel jna langu Mana kile chuo nilichomba bado naambiwa ninacode namba ya chuo nilchokua nasoma mwazo Apo ndo shida ilipo ndigu
Nenda kufanya clearance pale tcu kuna form ya re admission utapewa ujaze , kama kuna maelezo zaidi watakupatia pale watu wengi wameenda pale kufanya clearance
 
Mpaka sasa sijapata code
yani hapa sieelewi cha kufanya TCU ninmewatumia taarifa zote ila mpaka sasa hamna chochote....

hawa TCU wanaboa kweli...

nashindwa nifanye nini maana nipo mkoani...

deadline ya kukofirm ni tarehe kumi yan dah!!!
Ok nenda tcu kajaze form...kama haupo dar agiza mtu fasta
 
Sawa nashukuru
Utapewa form kama hiyo ujaze na maelezo kulingana na tatizo lako fanya haraka
IMG_20180909_143320.jpg
 
Hivi ni kweli kwamba jf hakuna mtu wa TCU
angalau atoe majibu ya ni kitu gani kinaendelea?
nani kaigeuza TCU kuwa ICU? maana siamini
kama taasisi kubwa namna hii itakosa GT ndani ya jf.
 
Mimi pia sijatumiwa code mpaka leo,
Ila zikifika tarehe za kwenda chuo naenda zangu kuripoti kwenye chuo ninachotaka,
Maana nina sifa zote ndo maana nimechaguliwa vyuo vi3, hayo mambo ya kuconfirm sijui code gan huoo watajua wao wenyewe waliofeli kuzituma
 
Inasikitisha, serikali inasistiza matumizi ya tehema lakini huko TCU naona bado wamelala usingizi wa pono hakuna hata feedback. simu ziko busy muda wote nahisi zile landline wameziweka pembeni ili wasipokee. hata email hawajibu. tuna safari ndefu.
 
Back
Top Bottom