1. SIRI YA UUMBAJI
Mwanadamu kabla hajaja Duniani roho yake inaishi na kutunzwa mahali Fulani HUKO MBINGUNI... Inapofika wakati wa kuja Duniani ili uzaliwe, MUNGU Aliye Hai hufanya yafuatayo Ambayo ndio msingi MKUU wa BARAKA ZETU za; Familia, ndoa, UCHUMI, Ustawi, Afya, WOKOVU, na Utumishi...