Recent content by Jophelah

  1. Jophelah

    Njombe: Ahukumiwa miaka mitano jela kwa kosa la ushirikina

    Kwa kifupi hukumu haieleweki, hizi imani zinaharibu sana intelligent things
  2. Jophelah

    Pakistan yatangaza dharura ya kitaifa baada ya mafuriko kuua Watu 937

    Ila mvua za monsoon wanazijua muda mrefu lakini Pakistan kwa ujumla hawajifunzi kupitia jana, jitihadi za kupambana na mvua hizo ni ndogo sana
  3. Jophelah

    Kuna upigaji mkubwa kwenye zoezi la sensa mabilioni kwa mabilioni

    Ila si vyema kulalamika, nafikiri kama unautafiti wa kutosha kuhusiana na hilo unaweza kuripoti maana yake kuna sekta husika haina habari au unakusudia kama uko serious kiasi hicho
  4. Jophelah

    Waziri wa zamani wa Guinea afariki akiwa gerezani

    Ikiwa nchi ilichukuliwa kijeshi bwana huyo kuwekwa jela ni neema angeweza kunyongwa muda mrefu, na tukumbuke unapoingia utawala wa kijeshi maana yake katiba huwa haina kazi maana uongozi haupo nahuu ni uhalisia
Back
Top Bottom