Ila si vyema kulalamika, nafikiri kama unautafiti wa kutosha kuhusiana na hilo unaweza kuripoti maana yake kuna sekta husika haina habari au unakusudia kama uko serious kiasi hicho
Ikiwa nchi ilichukuliwa kijeshi bwana huyo kuwekwa jela ni neema angeweza kunyongwa muda mrefu, na tukumbuke unapoingia utawala wa kijeshi maana yake katiba huwa haina kazi maana uongozi haupo nahuu ni uhalisia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.