Nyumba ni kiunganishi cha familia kama ikiuzwa na watu wachache ktk famili manaake umevuruga familia
Sizani mama yako anaweza kuuza nyumba ya baba yako bili kukushirikisha kama wewe ni mtoto wakwanza ktk familia ikitokea ujue wewe umepuuzwa kabisa na hauna maana ktk familia
LISSU AFUNGUKA KASORO ALIZOFANYA MAKONDA.
Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu ametaja kasoro kadhaa katika zoezi la vita ya dawa za kulevya lililoanzishwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda.
Amesema, Kwanza, Mkuu wa Mkoa hana mamlaka yoyote ya kuelekeza watu kwenda kuripoti...
Mimi sikuitaji nyumba ktk ukoo au familia nyumba nipahara pakukutania pakiuzwa manaake kunapotokea jambo la kifamilia mnakutana hapo sasa amepatwa na matatizo nikienda nikafikie nyumba ya wageni? ikiwa kipato changu hakiruhusu
Unatazama kiurahisi ndugu ujajua maumivu niliyo nayo
Nyumba alijenga baba wakati wa kufyatua tofari nilishiliki nikiwa na umri wa miaka 12
Mama na baba walikuwa wameachana apofariki baba aliletwa mama kutulea mwisho mm niliondoka nyumbani kwanda tafuta maisha ndipo hayo yalitokea
Baba alijenga nyumba akiwa ametengana na mama hivyo baba alipo fariki ukoo ulimrudisha mama ili tulelewe na yeye
Mama alipo kuja hapo alikuwa na watoto wa baba mwingine ambaye hata sasa yupo hai
Kinacho niuma kuona mali ya baba yangu imepotea ktk ukoo mwinine yaani watoto wa baba mwingine
Mimi ni mtoto wakwanza ktk familia,mama angu alikuwa anaishi nyumbani kwa baba angu ambaye ni marehemu sasa alihishi pale akiwa na wadogo zangu wa tumbu moja
Sijui nn kilitokea nikapata taarifa za msiba mdogo wangu aliye nifuata kuzaliwa akafariki nilikwenda msibani nilipofika ndipo nilipata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.