Hamieni huku chadema achaneni na majizi hayo ccm hata hayana hofu ya mungu! Nilikuwa katika kijiji kimoja mkoani Simiyu jimbo la busega,mgombea ubunge wa ccm alikuwa anagawa 2000 kwa wanachama hadi saa saba usiku ili apite kura za maoni, inashangaza lkn ndo ukweli! Buku 2 unateseka miaka 5...
Huyo ni kawaida yake, hata kipindi kilichopita alikamatwa kwa tuhuma hizo hizo lkn akaachiwa kwa kuhonga! Mambo ni Yale Yale tuu, anayemkamata mtu kwa rushwa naye anadai rushwa then mchezo umeisha!!
Haya makampuni ya simu ni wanyonyaji wakubwa sana' na si kwamba serikali haijui wanajua sana' ila wahusika kuna kamisheni wanapata! Hata mishahara ya wafanyakazi hasa wale waliopo kwenye hivyo vitengo vya kuiba na kutudanganya! Wanatuumiza sana kikweli! Hamna wenye nafuu wote majizi makubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.