Mkuu nakushauri nenda kamwone daktari wa meno maana magonjwa ya fizi (periodontitis/gingivitis) tiba yake ni kusafishwa meno ama kuchekiwa kama una upungvu wa vitamins.
Hatua ya kwanza acha kupiga mswaki kwa nguvu.Jaribu kutafuta miswaki yenye vifanyio laini na tumia dawa ya meno sensodyne, with time hiyo hali itakwisha. Pamoja na hayo nakushauri umwone daktari wa meno maana kama yamekwanguka sana yatahitaji kuzibwa.
Mambo mengine ni kutafuta ugomvi na watoa huduma pasipo kuwepo na sababu za msingi.Watu tnajua matatizo na ugumu wa kazi za manesi kwenye zahanati za vijijini, kweli hata nywele za kunako tunasubiri zinyolewe na wauguzi? Hata kama huduma kwa wajawazito ni bure, sio hata kunyolewa sehemu nyeti.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.