Recent content by joka

  1. J

    Slaa ni muda wake wa kukubali matokeo,.

    naona wakati wa kukubali matokeo ndo huu kwani hakuna jipya kwa sababu Dr slaa anayotoa kama malalalamiko hayana msingi wowote ni kuwaadaa wananchi bureeeeeee
  2. J

    Hawa ndiyo wabunge wa viti Maalum CHADEMA, CCM na CUF

    Kwa nini mk ulima unaitakia mabaya ccm, inaonesha kwa jinsi ulivyo na roho mbaya ya kutompenda jirani yako kwa wivu wa maendeleo. Naomba upange na viti vya Chadema, Cuf, Nccr mageuzi, Tlp na kadhalika manake wewe ni mtaalamu wa kuchakachua orodha ya watu wasokuhusu. nashukuru kwa kuzipata orodha...
  3. J

    GE2010 Tume ya uchaguzi na mtandao wa matokeo

    Nadhani watanzania tuwe na mchango utakaosaidia na sio kuwa na mawazo ya mkosaji. Uchaguzi umekwisha na rais ataapishwa muda si mrefu tuanze kudunda na kazi achana na dua la kuku ambalo daima halimpati mwewe. Nadhani watz mmenipata barabara sana. Uchaguzi umefanyika, alopata kapata alokosa...
  4. J

    Dr Slaa Apinga Matokeo Yanayoendelea Kutangazwa na Tume

    Watanzania muwe macho na watu waliochoka amani. Dr slaa, inaonesha ni kwa jinsi gani ambavyo alitegemea kwa kuwahadaa wananchi wangempa kura. Kumbe hakuna kitu. Nilitahadharisha yale ya Mrema ya 1995 yasije yakamkuta, lakini mzee wa kibandiko yeye akujali leo ni mbunge mteule. au inawezekana...
  5. J

    CCM ijifunze kuheshimu Kauli za Watu

    Mwomba janga ula na ndg zake. naungana na wale waonao ukweli wa mambo. kwanini hamtwambii musoma, mwanza, nyamagana, arusha, moshi mjini, kawe, ubungo nk yale majimbo ambayo mmepata kwamba ndo uchaguzi ulikuwa mbovu bali waloshinda ccm ndo uchakachuaji ulifanya kazi??? jamani kumbuka nyie ni...
  6. J

    CHADEMA washauriwa kuhakiki ushahidi wa kura za Urais kwa Ernst & Young

    Wanakwetu naona mnapoteza muda wenu kufikiria mambo ambayo katika ulimwengu huu halipo. Huwezi kulazimisha watu wakuchague kwa nguvu. Mgombea wenu Dr slaa kashindwa kweli wala hajaibiwa. Nakubaliana na aliyesema kwamba chukueni vikokotozi vyenu kokotoa then utapata jibu mwenyewe. Tatizo ni...
  7. J

    Ushauri kwa Mh.Lowassa

    Nahisi kwamba watoa hoja wana chuki zao binafsi nakushukuru nakwetu kwa ushauri wako naomba kila mtu aisafishe nyumba yake kabla ya kumnyooshea kidole mwenzake. je lowasa ndiye anayetafuna halmashauri zetu nchini je wewe unayemtuhumu una usafi kiasi gani? tukikubali kujisafisha, basi tz ijayo...
  8. J

    GE2010 Barua Ya Wazi Kwa Kikwete !

    Nilidhani mtu anapotoa maoni yake anayatoa kwa kutumia hekima na busara kumbe kuna watu kama fisadi orignal ameungua fwuzi za kichwani. Mtu mwenye malezi mazuri na ustaarabu hata kama wa kuiga hawezi kuandika matusi dizaini hiyo. Narudia kusema je ili uhesabike umeshinda kiharali lazima uende...
  9. J

    GE2010 Shein rais Zanzibar

    Hongera znz kwa kazi nzuri ya uchaguzi pia kukubaliana jinsi ya kuongoza taifa. Mungu awabarikie sana ccm oyeeeeeeeeeeeee na cuf bravo
  10. J

    GE2010 Urais zanzibar

    Naona ni sahihi kwa mujibu wa katiba ya znz vinginevyo kule visiwani, upinzani ni wa karibu sana miaka yote ni hivyo na itakuwa hivyo kwani upemba na uunguja unawapa taabu kule. Wananchi wa kule hawadanganyiki wala kupoteza asili yao. Big up ccm znz mungu awabariki.
  11. J

    GE2010 Kipigo cha CCM ni matokeo ya kulipa fadhira kwa JK, kaua chama Mkwere

    Naona ccm itadumu hata kwa dua la mwewe halimpati. Nakumbuka mwanzo mwa kampeni wengi waliomba ccm ishindwe naomba waombe msamaha pamoja na kashfa vituko na kadhalika bado mmeshindwa. Nawasihi na mjipange upya ccm itashinda kwa asilimia zaidi ya 80 ndg zanguni. Mchezo wa siasa hawauwezi kwani...
  12. J

    Kazi niliyotumwa nimeimaliza

    Hongera chandema kwa kazi yetu angalau ya kupata majimbo 25 tu na kafu 25 mungu awabariki na walobaki 10 jumla 60 kati ya 239 ambayo ni asilimia 25. Kazi kwenu naomba msiongopee wananchi fanyeni kazi ili 2015 mjiongezee wawakilishi mjengoni vinginevyo msije mkawa kama enisisiara mageuzi...
  13. J

    GE2010 Kwa nini matokeo ya Uraisi hayakutangazwa majimboni?

    hata kama yangetangazwa huko unakosema, bado slaa angepigwa kwani hajakubalika vijijini kama ilivyo mijini. Kwa hali hiyo hakuna cha uchakachuaji wala shangazi yake nini bali hali halisi ndo hiyo. Tusijaribu kuwaadaa watu wakati ni hivyo! Mbona pale majimbo anayoshinda au uraisi haujasema nao...
  14. J

    GE2010 Hali ya baadaye ya dr. Slaa kisiasa.

    Nashukuru kwa wale nyote mlochangia hoja hii ya baada ya uchaguzi dr slaa atakuwa kipande gani. Nasema hivi uchaguzi umeisha na ameshindwa hata kama kura hazijahesabiwa zote lakini kwa tathimini yangu ndo hivyo, basi tujenge nchi y etu tuache mambo ya uchaguzi waloshindwa wajiandae kama wanataka...
  15. J

    GE2010 Tathmini ya Ushindi wa CHADEMA

    by the way slaa ana kura ngapi so far kwani tunamtegemea kuwa rais kama wadau wanavyopenda. mwaminifu na mpenda maendeleo.
Back
Top Bottom