kichenchele
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 539
- 176
hilo nalo neno
Mpendazoe, Tindu Lissu VP?
Tundu Lissu kidedea!
kubali tu mumefulia, yule rais wenu nasikia yuko hospitali kwa pressure hongera cuf mmefanya vizuri kwa pesa ndogo kuliko hiki chama cha watu wa kaskazini.
Chadema wanashinda mijini tu kwa wafanyabiashara na mafisadi.
na ubungo proved
Pinda mbona simsikii, kaishi wapi yule mzee
CHADEMA tumechukuaProved kuwa?
CHADEMA tumechukua