Recent content by jojilo

  1. jojilo

    Nactvet

    Jau saana
  2. jojilo

    Nactvet

    Naulizia wadau kama kuna mtu anayo namba ya nactvet ofisi za dar es salaam Nina changamoto Namba za kwenye websites hazipatikani
  3. jojilo

    Paul Makonda kujibu tuhuma zilizoelekezwa kwake kupitia PB ya Clouds FM tar Februari 23, 2017

    Kakimbia huyo anajua madudu yake Sent from my SM-G360H using JamiiForums mobile app
  4. jojilo

    Nikizini Mungu atanihukumu kweli?

    Umri wako. Ili nikuoe usizini tena
  5. jojilo

    Huu ni ugonjwa gani?

    Nenda mkampime HIV Test kwanza then muangalie na vipimo vingine ikiwezekana amuone daktar kabisa
  6. jojilo

    Kufeli kwa shule za serikali

    Elimu bure ndo shia
  7. jojilo

    Kama kweli kuna majini mahaba basi hili langu ni kiboko

    Hahaha unavalia jini kondom lazima yaje mpaka majini mashoga
  8. jojilo

    Hatimaye Angela Kairuki ataja muda wa ajira za walimu wa Sayansi

    Hahaha na wee unawaza ajira. Tumia elimu yako kujiajili hapa ajira mpaka 2019
  9. jojilo

    Nifanye nini ili nisichanike wakati wa kujifungua

    Mshaur mumeo umpe papuch ili mbegu zake zikalainishe njia zako za uzaz hata ukiweza mpe kila cku mpaka siku ya kujifungua ifike asante. Kumbuka ukishindwa tutakuchoma oxytocin iv
  10. jojilo

    Series (Special thread)

    Wiki hii jumatano wanatoa episode ya 14 season 3 so ya sita inaendelea mpaka 13 Hiyo ingine mpaka wiki hii
  11. jojilo

    Series (Special thread)

    Ipo mpaka season 3 ambayo haijaisha
  12. jojilo

    Hivi mke anaombwa ruhusa au anapewa taarifa?

    HahahHa sijaziliwa hata huo mwaka na mwezi umebugi hapo hah
Back
Top Bottom