Habari wakuu,
Nimejaribu kufanya malipo ya mzigo kutoka Us kwa njia ya Airtel mastercard lakini nashangaa kuona ujumbe wa Muamala wako Haukukamilika TXN Id: MP240304.1650.T99101, Mpokeaji kafungiwa nifanyaje apo?
Nenda nacte waeleze ishu yako watakwambia uende chuo ulichochaguliwa watilie mkazo wao ndo wawasiliane na hicho chuo lasivyo watakuzungusha tu wanatafuta wanafunzi
WanaJF
Nafasi za udahali wa wanafunz chuo kikuu cha Dar es salaam sio nyingi kwa pande zote, but kwa dip holders idadi ni finyu zaidi hii inasababishwa na nin? Na vigezo ni vipi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.