Recent content by Johnyy

  1. Johnyy

    Vykingship imeblokiwa Airtel Mastercard?

    Yahh sure umenipa wazo👏
  2. Johnyy

    Vykingship imeblokiwa Airtel Mastercard?

    Thanks nimewatumia email tyr ni shipping agency i hope watanipa feedback
  3. Johnyy

    Vykingship imeblokiwa Airtel Mastercard?

    Yah airtel inasumbuaga sana Ngoja nijaribu Voda mastercard nao
  4. Johnyy

    Vykingship imeblokiwa Airtel Mastercard?

    Habari wakuu, Nimejaribu kufanya malipo ya mzigo kutoka Us kwa njia ya Airtel mastercard lakini nashangaa kuona ujumbe wa Muamala wako Haukukamilika TXN Id: MP240304.1650.T99101, Mpokeaji kafungiwa nifanyaje apo?
  5. Johnyy

    Msaada: Jinsi ya kuendelea na maombi ya chuo baada ya kuchaguliwa

    usipofwatilia mzee utaenda hicho chuo mda unaisha 16/10 wanaanza masomo
  6. Johnyy

    Msaada: Jinsi ya kuendelea na maombi ya chuo baada ya kuchaguliwa

    Duh ungekua dar ingekua poa ila nadhan wanabranch huko
  7. Johnyy

    Msaada: Jinsi ya kuendelea na maombi ya chuo baada ya kuchaguliwa

    Nenda nacte waeleze ishu yako watakwambia uende chuo ulichochaguliwa watilie mkazo wao ndo wawasiliane na hicho chuo lasivyo watakuzungusha tu wanatafuta wanafunzi
  8. Johnyy

    Jinsi biashara ya Uber ilivyonikutanisha na dada huyu mrembo wa ajabu

    Mwamba anakumbuka conversion had mavazi waliyovaa atengwe😂
  9. Johnyy

    Mshahara wa Internship private sectors upoje?

    wana jf,samahan mshahara kwa intern private sector upoje na je mda ukiisha unaweza update?
  10. Johnyy

    Idadi ndogo ya udahili wa wanafunzi waliotoka Diploma UDSM inasabishwa na nini?

    WanaJF Nafasi za udahali wa wanafunz chuo kikuu cha Dar es salaam sio nyingi kwa pande zote, but kwa dip holders idadi ni finyu zaidi hii inasababishwa na nin? Na vigezo ni vipi.
  11. Johnyy

    Nina 3.9 GPA Diploma nitapata Chuo cha Ardhi Bachelor of Science in Accounts

    Msaada wa mawazo nimehitimu dipl ya uhasibu TIA gpa inasoma 3.9 nitapata kweli Ardhi university b science Accounts.
Back
Top Bottom