Kabisa umekaa na kufikiri ukaamua kuandika forex ni kamari..watch this pace watu kama nyie tutakua tunascreen shot withdraw kila weekend mtaelewa tu..Time will tell.
Kikubwa wawe wazi kama kuna makosa basi yarekebishwe.Tanzania ni yetu na maendeleo ni ya wote.Suala hili lisichukuliwe kisiasa hapa ni maslahi ya Taifa.
stamina imechukua nafasi AJ angemalizwa round 5 ambapo klitcho alimuotea .Sema kijana yuko vizur mzee pia nae kajitahd kufika round hyo.Aj ana heavy punches sana.
Upo sahihi kiasi fulani ni kweli watu wapole/wastarabu hupenda kufuata utaratibu ama njia fulani kufanya mambo.Mapenzi hayana utaratibu ni lifestyle.ukiyaweka kama lifestyl utaenjoy sana.
Hizo sio sifa za 'woman' au ' girl' sababu sababu kila mtu ana namna na utashi wa kukabiliana na mazingira husika kwa nmna tofauti.Hamna formula ya watu wote duniani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.