Recent content by John R.Kamanga

  1. J

    Nanyuki: 320 British troops placed under isolation after 4 tested positive for COVID-19

    Hizo NI hisia tu Daktari aliadhibiwa kwa kutotoa taarifa sehemu husolka a na kutochukua hatua sahihi.
  2. J

    Lissu: Naishi kwenye makazi ya balozi(Ujerumani) kwa sababu maisha yangu hayako salama, nitarejea Ubelgiji

    Lisu anakimbia kivuli chake, dhamiri yake ndio inamsuta kwa maneno na matendo yake juu ya nchi yake.
  3. J

    GE2020 Balozi wa Japan ashangazwa na ubadhilifu Uchaguzi Mkuu wa Tanzania

    hawna lolote walitegemea tukapige magoti kwao watupe hell ya uchaguzi, hizo NI njia za kuleta chokochoko WASHINDWE.
  4. J

    Maisha ya Babu Tale, Fella, hayati Kanumba yana financial freedom kuliko wasomi wengi. Tunakosea wapi?

    Very true, ila issue inkuja kwamba mudamwingi huishia shuleni, baada ya hapo unaajiriwa muda mwingi unatumika kwa mwajiri, jioni ukirudi hoi unafanya maandalizi ya kesho kibaruani tofauti na MTU ambaye yuko free ana_"manage" muda wake anavyotaka
  5. J

    Nyimbo ipi ya lady jaydee commando ilikubamba zaidi

    Usiusemee moyo, Yahaya, joto hasira
  6. J

    VYETI FEKI: Kama ni wewe,ndugu,rafiki,boss au mtumishi mwenza pita hapa tufarijiane/kupeana ushauri

    P0le jamaa kwa mkasa wa Boss. ila nimelearn kitu kwamba hakuwa amebweteka alikua na miradi. Hilo ni somo kwa wote.
  7. J

    Dr. Slaa: Sijatoa tamko lolote, Sitokuwepo Jangwani Kwenye uzinduzi wa Kampeni za CCM

    Mimi nadhani sababu kubwa watanzani wana kiu ya kusikia Dr. Slaa ana mtazamo gani juu ya hali ilivyo sasa,na wazushi wanalijua hilo hivyo kuleta uzushi wao 'YAMKINI' hata tamko hili halikutoka kwa Mh.Dr.Slaa."I SWEAR" binafsi Kati ya wanasiasa ninaowaamini katika siasa za upinzani Dr.Slaa ni...
  8. J

    Mchezo gani ulikuwa unaupenda ulipokuwa mdogo?

    Kombolela haafv baba na mama
  9. J

    M/kiti wa CCM Shinyanga, Khamis Mgeja na John Guninita wajivua uanachama CCM na kujiunga CHADEMA

    Kumbe alikuwa bado mimi huyu nilimtegemea ndio wa kwanza kuhama bado watano ambao tayari tulishawatoa kn list ya wana-ccm
  10. J

    Dr. Slaa hatimaye aibuka

    Tatizo mnaongea tu kwa sababu mnafikiria immediate impact kwa sa'bu watu wamestick zaidi kwenye uchaguzi na kusahau taratibu nyingine za kichama
  11. J

    Lowassa atikisa Buguruni katika ofisi za CUF

    tusizidishe vijembe ili octoba tupeane mikono ya pongezi.
  12. J

    Mwenyekiti wa CCM Mkoa Arusha na Katibu Mwenezi wa Mkoa Wajiuzulu na kuhamia CHADEMA

    Ninachoomba tupunguze vijembe ili tusalimiane baada ya uchaguzi oct.25.maana naona wengi hawajui kuwa siasa hugeuka kama upepo.
Back
Top Bottom