Very true, ila issue inkuja kwamba mudamwingi huishia shuleni, baada ya hapo unaajiriwa muda mwingi unatumika kwa mwajiri, jioni ukirudi hoi unafanya maandalizi ya kesho kibaruani tofauti na MTU ambaye yuko free ana_"manage" muda wake anavyotaka
Mimi nadhani sababu kubwa watanzani wana kiu ya kusikia Dr. Slaa ana mtazamo gani juu ya hali ilivyo sasa,na wazushi wanalijua hilo hivyo kuleta uzushi wao 'YAMKINI' hata tamko hili halikutoka kwa Mh.Dr.Slaa."I SWEAR" binafsi Kati ya wanasiasa ninaowaamini katika siasa za upinzani Dr.Slaa ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.