ksny
JF-Expert Member
- Mar 30, 2016
- 1,693
- 1,657
Ondoka utuachie nchi hovyo wewe uende huko kuzuri. Mtu halazimishwi kuishi mahali, ndiyo maana kuna international immigration. tutafutane nikuelekeze namna ya kupata legal immigration kwenda popote unapotaka, hata ukitaka Burundi au DRC utakwenda! Hata kwa Kagame napo inwezakana. Kama unatamani Juba, njia ipo.Nchi imekuwa ya hovyo kabisa hii!!