Ahaaahaaa....langi ni nzuri kwani unjano wake umepooza ..pia pale kwenye kiuno nazani imekaa vizuri kwani imeshika vizuri maeneo ya mjomba.......kwakifupi niyakushona.....
Kweli mzee baba wwngine wamezoea safari zabagamoyo to dar...MTU unaenda mwanza toka dar alafu upumzike kila baada yamasaa mawili huo si wenzawazim.....kama si derva ajiri MTU akuendeshe nasio ulazimishe.....mfano kutoka dar to Dodoma si chini yamasaa nane.... Hivyo kwa maelezo ya jamaa...
Tujifunze kusifia kile tulichonacho nasi kile walichonacho.......kwani hata wao hawakulifanya kwa malamoja wametimiza baada ya miaka mingi kupita vizazi navizazi .....hivyo tusibezi vyakwetu....Leo jirani yako anakula kuku lost wakati kwako unakula matembele usianze kusifia kwa jirani bali fanya...
Udogo wake unaujua ulivyo wewe ama MTU kuitwa mdogo ni akiwa na umri gani.....pia wewe uliemkubwa wafaham hata ili ndege iluke inahitaji mjumuiko wa mambo gani
Unazani ikulu nikama choo cha stendi kila mtu anafanya vile atakavyo sio......umeshaelezwa nimahari P atakatifu sasa kama sheteni anapajaribu unategemea maraika walinzi wamfanyeje .......vijana wako sawa kwakile walochokifanya safi sana wanajeshi kwa kazi nzuri
Kwani hukuwa na tatu bomba ukaunganisha safari iliyo kwisha anzishwa na mwenzako........katoto keupe pengine kana sura ya ki pole na vi macho vya nye*g*e na vi makalio vilaini.....da!
Ama kweli nimeamini wa bongo walio wengi ni wanafiki sana......kwani nimajuzi tu mlio wengi mmetoka kuwalaum jeshi la police kuhusu tamko lao na leo hi tena mme ludi kuponda zuio la RC MAKONDA....Hizi chuki binafsi hazita tufikisha......tuzungumze hoja nasi chuki binafsi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.