Songa ni solo mc,je we ni player? Njoo uchezee liboro fc. Songa anajua. Japo narusha heshima kwa WANATAMADUNI music wote na ma mc wa HipHop ya kweli Tanzania.
Kwanza tuondoe mitazamo ya kwamba heti lugha ya Kiswahili haikidhi haja kutokana na kuwa na misamiati michache. Halafu 'kuchocha' ni neno linaloweza kutumika kuwa mbadala wa hilo neno la kiingereza,kwa maana kinachoangaliwa katika mazungumzo ni dhana gani inalengwa wakati huo,. Lakin sisi wenye...
Waungwana wa jukwaa letu tamu,ninapenda nifahamishwe vizuri historia ya mwanasiasa huyu John Mnyika mbunge wa Ubungo jijini Dar-es-salaam. Tangu alipozaliwa.shule na maisha kwa ujumla. Ahsante.
Hatukatai binti kupewa haki ya kutoa maamuli,lakim binafsi hawez kuniletea mambo ya masenge nitakapo kula mzigo,hata km ndio mara yke ya kwnz kukutana na mimi. Kwa ufupi tamthiliya zinawaharibu vivulana,hasa hv vnavyodhani kujiliza kw videmu ndio kula mzigo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.