Watanzania tunakuwa wepesi wa kusahau hivi tumesahau ajali nyingi za majini zilizo ua ndugu zetu chanzo ni utendaji mbovu na kutosimamiwa vizuri vyombo hivyo? Hebu amkeni acheni siasa utendaji kazi wa kukaa ofisini na kusubiri repoti umepitwa na wakati
Diamond hakupaswa kumchukia mzee wake eti kisa alikuwa haelewani na mama huo ni ugomvi wa wazazi ambao wewe hupaswi kujua unaki kuwa siri yao kumbuka aibu hiyo unapata ww na simwingine
Ifike mahali tuwe na roho za huruma hata kama ikitokea kweli alichukua lakini si kwa adhabu hiyo ninavo jua mm mahakama peke yake ndiyo inayo weza kumhukum m2 hadi adhabu ya kifo kulingana na kosa niseme2 poleni wafiwa kwani inasikitisha sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.