miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
ha ha haha
Huku sasa ni kuwa Juha Kalulu ..nafikri watu hawajaelewa Dhana ya hapa kazi tu.......kila mtu anatakiwa kuwajibika kwa kazi yake
Kama DC au watawala wafanye kwa makini kwa bidii Yale yote yaliyo kwenye Job description ...zao
Kama ni mesenja pia ..Kama mfagiaji ..au kuli wa kupakia mizigo
Sasa sidhani Kama tutapima utendaji wa Mkuu wa wilaya kwa kuangalia uwezo wake wa kubeba box
Au kumpima waziri kwa uwezo wake wa kufagia...........
Anaweza kufanya kwenye matukio Maalum Kama siku ya usafi na kadhalika ....lakini sio ndio iwe utaratibu.....
Kwenye Tukio la ajali DC ataangaliwa namna anavyoweza kuratibu...mambo yakaenda na sio kukimbilia kupiga picha
Kujitoa kwa jamii ndio kubeba box au mtu mgongoni?wonders never end.Kwa hiyo kujitoa kwa namna hihi kutatufanya 2025 kuwa middle income countries?,we still have a long way to go to become Middle Income country after 50 years of independent.Akijutoa kwa jamiii, mnasema, akikaaaa ofisini mnasema, kweli binada
mu hamna wema
Mvua zimeacha kunyesha ! ila ngoja zianze utamuona kwa sasa anapigana asitolewe.Ameacha kubeba watu mgongoni??
Mwaka Huu tutashuhudia mengi sana hii movie sijui itaisha liniView attachment 333126
Mkuu wetu wa wilaya ya Iringa akiwa amebeba box huku akitizama camera...
Akajitoe akalime sio azuge na boxAkijutoa kwa jamiii, mnasema, akikaaaa ofisini mnasema, kweli binadamu hamna wema
Wanamuiga boss wao maguCcm wameja wana Mazingaombwe tu
Mkuu umegonga kwenyewe. Watu wameshamsoma Magufuli tayari. Wameshajua anavutiwa na watu wa aina gani. Na wameshajua wafanye nini ili wamvutie. Mimi nilipoona Makonda anasifiwa nikajua hii nchi wote tu wagonjwa. Ni maigizo kwenda kwa mbele. Athari zake ni mbaya sana na zitadumu kwa muda mrefu. Watu hasa viongozi hawatafanya kazi kwa bidii ila kila mmoja atajitahidi kuigiza aoneka anafanya kazi. Athari zake zitaenda mbali sana. NB: Halafu kingine nilichogundua ukitaka kupata uteuzi wa Magufuli kirahisi sana fanya vitu vitakavyokufanya uandamwe na kuchukiwa na wapinzani/wakosoaji wa serikali. Kwa sasa imekuwa wapinzani/wakosoaji wa serikali wakikuandama tu basi ni tiketi ya Magufuli kukupenda.Viongozi wenye maigizo kama huyo Jpm ndo anawapenda msije shangaa akapewa ukuu wa mkoa halafu Jpm akasema anatukomoa ili tuendelee kumsema! Mfano Makando.
Kwani anakunya moto? Mbali ya vyeo vyake? Ni binadamu kama sisi. We kama unamwabudu elewa unatenda dhambi anayepaswa kuabudiwa ni Mwenyezi MUNGU pekee.Kwa nini mnakosa adabu?
Huyu ni Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya,mjumbe wa CCM na mkuu wa wilaya ya Iringa.
Hahahaaaa... Now this is funny .. HahaaaHata jinzi wanavaa zilizopauka ili tufanane nao
Nyuma ya huyo aliyebeba boksi mbona ni kama mama yetu yule wa 'Mh. Lissu majibu....'' au alikuwa namsaidia kubeba. Njombe na Iringa Karibu....
Mkuu wetu wa wilaya ya Iringa akiwa amebeba box huku akitizama camera...