hii taarifa mbona kama tuna`calculate hesabu?andika vizuri hata kama mmefiwa,maana kusoma tu kichwa kinauma,mbaya zaidi sijatoka na chochote ulichokiandika,POLENI KWA MSIBA!Wanabodi,
IMG-20160828-WA0024
Binti wa huyu dada aliyefariki ni mwana jf mwenzetu. Amefiwa na mama yake mzazi.
Paskali
Pole kaka nimesoma tangazo kwa utulivu nimelielewaWanabodi,
IMG-20160828-WA0024
Binti wa huyu dada aliyefariki ni mwana jf mwenzetu. Amefiwa na mama yake mzazi.
Paskali
Soma tangazo hilo la picha vizuri.Nilivyoelewa, pascal kafiwa na mkwewe.
Pole kwako pascal na mama mtoto wenu kwa kuondokewa na mzazi. Pia kwa Mtoto wenu kumpoteza bibi yake.
Kama nimekosea mnisahihishe
Mi nimeelewa zaidi kilicho andikwa Kwenye picha .....pole Sana mkuu ....."RIP mum n may her soul rest in eternal peace ......Amen "