Recent content by Jogoli

  1. Jogoli

    Maji ya Mvua meusi

    Hii hali ya maji ya mvua kuwa meusi nimei-notice pia hapa mkoani KATAVI, mara ya kwanza nilihisi chombo kilichotumika kukinga maji labda kilikuwa nikichafu, bahati nzur nimekiosha mwenyewe na mvua ikanyesha tena siku ya leo, lakini cha ajabu maji bado yanaonekana ni machafu(meusi) licha ya bati...
  2. Jogoli

    Nyumbanitu: Msitu wa ajabu mkoani Njombe wenye kuku weusi, ng'ombe weusi, mbuzi weusi na kondoo weusi

    Uzi mzuri ila shida hauna kiambata cha picha hata moja.
  3. Jogoli

    Uingereza: Mume wa Malkia Elizabeth II, Mwanamfalme Philip atimiza miaka 99

    Ndiko unakoelekea(uzeeni), Mwenyezi Mungu akikujalia kufika salama ukumbuke kutupa mrejesho
  4. Jogoli

    Kama ulifanikiwa kuoa mapema tueleze hali ya maisha mpaka sasa

    "Kama haujaoa haujakua,hata kama una umri zaidi ya miaka 50". Waliooa wamenielewa hata kama walioa kwa kuwahi au kuchelewa.
  5. Jogoli

    Ndoto ya ajabu!

    Nashukuru sana "mtumishi" nitazingatia ushauri wako. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. Jogoli

    Ndoto ya ajabu!

    Mkuu hii comment yako imenifikirisha sana, ni kweli Mimi na familia yangu tunapenda sana maharage, japo si Mara kwa Mara lakini wiki haiwezi kuisha bila kuyala. Je comment yako ipo kitaalam zaidi, au ipo kihisia zaidi.? Ntashukuru kwa ufafuzi zaidi. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Jogoli

    Ndoto ya ajabu!

    Nashukuru kwa ushauri, ntaufanyia kazi kuanzia Leo. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Jogoli

    Ndoto ya ajabu!

    Punguza mizaha mkuu, tatizo ni zuri likiwa kwa mwenzio Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Jogoli

    Ndoto ya ajabu!

    Mkuu hakuna ninachokumbuka zaidi ya hapo, na Mara nyingi hutokea mda mchache tu baada ya kulala. Pia nashindwa kuelewa kama ni ndoto kweli au ni kitu gani, maana huo mlipuko ukitokea usingizini nikishtuka najiona kuna hali ya mwili kutikisika kweli (katika ulimwengu halisi). Sent using Jamii...
  10. Jogoli

    Ndoto ya ajabu!

    Amen! Ubarikiwe kwa ushauri na maneno yenye hekima Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Jogoli

    Ndoto ya ajabu!

    Nimekuwa nikiota kitu kama ndoto ya ajabu, sikumbuki vizuri huwa inaanza vipi, lakini ninachokumbuka huishia na kulipukiwa na kitu kama Bomu usoni kwa nguvu "Puuuuuuuuuh!". Wakati mwingine nahisi kama kichwa kimesambaa. Huo mlipuko ukishatokea tu hujihisi kama nimerushwa, na hapo nashtuka...
  12. Jogoli

    Nchi yenye uchumi wa kati raia wake hufa kwa kugombania mafuta?

    Vy tiyhyv . . Hutuy6 htf
  13. Jogoli

    HOW TO DETECT A HIDDEN CAMERA IN A ROOM

    Jamaa nimetest ni kweli , kumbe kuna vitu hatuwezi kuviona kwa macho ya kawaida
Back
Top Bottom