Hii hali ya maji ya mvua kuwa meusi nimei-notice pia hapa mkoani KATAVI, mara ya kwanza nilihisi chombo kilichotumika kukinga maji labda kilikuwa nikichafu, bahati nzur nimekiosha mwenyewe na mvua ikanyesha tena siku ya leo, lakini cha ajabu maji bado yanaonekana ni machafu(meusi) licha ya bati...
Mkuu hii comment yako imenifikirisha sana, ni kweli Mimi na familia yangu tunapenda sana maharage, japo si Mara kwa Mara lakini wiki haiwezi kuisha bila kuyala. Je comment yako ipo kitaalam zaidi, au ipo kihisia zaidi.? Ntashukuru kwa ufafuzi zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hakuna ninachokumbuka zaidi ya hapo, na Mara nyingi hutokea mda mchache tu baada ya kulala. Pia nashindwa kuelewa kama ni ndoto kweli au ni kitu gani, maana huo mlipuko ukitokea usingizini nikishtuka najiona kuna hali ya mwili kutikisika kweli (katika ulimwengu halisi).
Sent using Jamii...
Nimekuwa nikiota kitu kama ndoto ya ajabu, sikumbuki vizuri huwa inaanza vipi, lakini ninachokumbuka huishia na kulipukiwa na kitu kama Bomu usoni kwa nguvu "Puuuuuuuuuh!". Wakati mwingine nahisi kama kichwa kimesambaa.
Huo mlipuko ukishatokea tu hujihisi kama nimerushwa, na hapo nashtuka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.