Recent content by JoeMan

  1. J

    Rais Magufuli aamuru Kikokotoo kilichokuwa kinatumiwa awali kiendelee hadi 2023 (kulingana na mfuko husika)

    Rais husaini muswada kuwa sheria; hii ya kikokotoo haipo kwenye sheria ila ipo kwenye kanuni. maana yake ni kwamba Rais hakuisaini. Hata Spika alisema hivyo majuzi tu. Kwa hiyo si sahihi kumshambulia mtu aliyefurahia kufutwa au kuahirishwa matumizi ya kikokotoo hicho.
  2. J

    Eng Patrick Mfugale Flyover TAZARA, kufunguliwa leo?

    Ni barabara za juu
  3. J

    Makete mbabe wa baridi Tanzania nzima

    Kwa hakika Makete kuna baridi sana. Hakuna sehemu, au kwa uhakika zaidi, makao makuu ya wilaya au mkoa Tanzania kwenye baridi zaidi ya Makete...
  4. J

    Wana CCM tumshauri Kigwangala afanye kazi ya uwaziri. Anachokifanya sasa ni utalii mtupu

    Ndio WaTZ hao... Kigwangallah piga kazi. Imarisha kwanza misingi ya utalii ndani ya maeneo ya kitalii. Kusiwepo uharibifu wa mazingira wala ufujaji wa rasilimali kwa aina yoyote ile ndani ya mapori yetu. Rejesha nafasi ya Tanzania katika kuwa na vivutio vingi vya utalii. Majuzi tulikuwa nafasi...
  5. J

    UDART yaongeza mabasi 70

    Ajabu kabisa. Sisi watumiaji wa usafiri huu malalamiko yetu siku zote ni uchache wa mabasi sasa kama wameongeza 70, basi hii ni nafuu sana kwetu. Muhimu tu walete na kadi pia na kuboresha mapungufu madogo yaliyopo au waliyojifunza kwa kipindi walichofanya kazi....
  6. J

    UDART yaongeza mabasi 70

    Kuna makosa hapo. Nimesikia Newe akisema ni USD 270,000! Almost Sh milioni 600 kwa basi moja
  7. J

    Nilichokishuhudia leo UDART Kimara mwisho

    Hali kama hii hutokea mara kwa mara lakini kwa hakika kinachosababisha si uzembe wa uongozi wa UDART, ila ni hali halisi ilivyo jijini Dar es Salaam. Mfano nyakati za asubuhi polisi huzuia mabasi ya Mbezi kwa muda wa saa moja hadi saa moja na nusu, sasa mabasi hayo yakifika Kimara kwa pamoja...
  8. J

    MAXCOM wanastahili kupewa tenda Uwanja wa Taifa?

    Ni ukweli kwamba MAXCOM ni moja kati ya kampuni zilizoleta mabadiliko makubwa nchini katika sekta ya fedha, kwa kurahisisha miamala na kuisogeza zaidi kwa jamii kupitia huduma kama vile MAX MALIPO. Ni bahati mbaya kwamba kwa makusudi au kwa kutofahamu, uongozi wa kampuni hii umeruhusu kirahisi...
  9. J

    Kipindi pekee Tanganyika imefaidi utawala bora ni 1916 hadi 1961

    Hueleweki kamanda, 1961 hadi 1961 ndio nini? Ni kipindi cha miaka mingapi hapo? Haya basi, huenda ulitaka kuandika 1916 to 1961, lakini 1916 Tanganyika ilikuwa bado chinio ya Mjerumani na wakati huo Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa ikiendelea! Sasa hapo Tanganyika ilifaidika vipi na Utawala...
  10. J

    Hivi nchi nyingine za Afrika kuna barabara ya Nyerere?

    Julius Nyerere University of Kankan, Guinea
  11. J

    Dar na New York zapewa tuzo

    Is it hoax news? Visit this website; C40 : C40 Cities Bloomberg Philanthropies Awards
  12. J

    Dar na New York zapewa tuzo

    Hii ni tuzo ya pili kwa mradi huu wa mabasi ya BRT (UDART) ndani ya mwaka huu tu... Hongera sana JIJI, Hongera DART, hongera UDART..... Lakini pongezi za pekee ziende kwa aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam mwanzoni mwa miaka ya 2000, Mzee Kleist Sykes (RIP), kichwa kilichofikiria na...
  13. J

    Mfanyabiashara Rainer Lukala mwenyekiti mpya CCM Rukwa

    Amewahi kuwa na hoteli maeneo ya Soko Matola, ni kweli kabisa. Sijui kama alifanyakazi benki, nadhani nilikuwa bado shule. Lakini ninamkumbuka akiwa mfanyabiashara mkubwa wa mazao miaka ya 1986/87/88/89/90, wakati huo akiishi Bangwe. Kama ana-connection na Rwanda, hiyo inatisha.
Back
Top Bottom