Rais husaini muswada kuwa sheria; hii ya kikokotoo haipo kwenye sheria ila ipo kwenye kanuni. maana yake ni kwamba Rais hakuisaini.
Hata Spika alisema hivyo majuzi tu. Kwa hiyo si sahihi kumshambulia mtu aliyefurahia kufutwa au kuahirishwa matumizi ya kikokotoo hicho.
Ndio WaTZ hao... Kigwangallah piga kazi. Imarisha kwanza misingi ya utalii ndani ya maeneo ya kitalii. Kusiwepo uharibifu wa mazingira wala ufujaji wa rasilimali kwa aina yoyote ile ndani ya mapori yetu.
Rejesha nafasi ya Tanzania katika kuwa na vivutio vingi vya utalii. Majuzi tulikuwa nafasi...
Ajabu kabisa. Sisi watumiaji wa usafiri huu malalamiko yetu siku zote ni uchache wa mabasi sasa kama wameongeza 70, basi hii ni nafuu sana kwetu. Muhimu tu walete na kadi pia na kuboresha mapungufu madogo yaliyopo au waliyojifunza kwa kipindi walichofanya kazi....
Hali kama hii hutokea mara kwa mara lakini kwa hakika kinachosababisha si uzembe wa uongozi wa UDART, ila ni hali halisi ilivyo jijini Dar es Salaam. Mfano nyakati za asubuhi polisi huzuia mabasi ya Mbezi kwa muda wa saa moja hadi saa moja na nusu, sasa mabasi hayo yakifika Kimara kwa pamoja...
Ni ukweli kwamba MAXCOM ni moja kati ya kampuni zilizoleta mabadiliko makubwa nchini katika sekta ya fedha, kwa kurahisisha miamala na kuisogeza zaidi kwa jamii kupitia huduma kama vile MAX MALIPO.
Ni bahati mbaya kwamba kwa makusudi au kwa kutofahamu, uongozi wa kampuni hii umeruhusu kirahisi...
Hueleweki kamanda, 1961 hadi 1961 ndio nini? Ni kipindi cha miaka mingapi hapo? Haya basi, huenda ulitaka kuandika 1916 to 1961, lakini 1916 Tanganyika ilikuwa bado chinio ya Mjerumani na wakati huo Vita Kuu ya Kwanza ya Dunia ilikuwa ikiendelea!
Sasa hapo Tanganyika ilifaidika vipi na Utawala...
Hii ni tuzo ya pili kwa mradi huu wa mabasi ya BRT (UDART) ndani ya mwaka huu tu...
Hongera sana JIJI, Hongera DART, hongera UDART.....
Lakini pongezi za pekee ziende kwa aliyekuwa Meya wa Jiji la Dar es Salaam mwanzoni mwa miaka ya 2000, Mzee Kleist Sykes (RIP), kichwa kilichofikiria na...
Amewahi kuwa na hoteli maeneo ya Soko Matola, ni kweli kabisa. Sijui kama alifanyakazi benki, nadhani nilikuwa bado shule. Lakini ninamkumbuka akiwa mfanyabiashara mkubwa wa mazao miaka ya 1986/87/88/89/90, wakati huo akiishi Bangwe.
Kama ana-connection na Rwanda, hiyo inatisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.