squirtinator
JF-Expert Member
- Sep 20, 2015
- 2,765
- 4,192
Ndio.Original plan ya hapo ilitakiwa hizo daraja?
Ndio.Original plan ya hapo ilitakiwa hizo daraja?
Nimeuliza tu mkuu.kama kuna kitu unataka kukisema,sema tu mkuu.naona unaanzia mbaaaaali kweli
Ni kityeputyepu.Hivi ni flyover au daraja?
Ni flyover hiyo...kwani vipi mkuu?Hivi ni flyover au daraja?
Mkuu ile ni fly over sio darajaOriginal plan ya hapo ilitakiwa hizo daraja?
And what will be a Bypass??A flyover is a structure which carries one road over the top of another road.
Kwa mtazamo wangu yote yanaweza kuwa majina sahihi, kikubwa Zaidi kipite chochote chini yake.Hivi ni flyover au daraja?
Mkuu observation nzuri.Tukimaliza hapo twende makutano ya chang'ombe na baadae kamata
Ni barabara za juuHivi ni flyover au daraja?
huyo Shaaban Robert ameshiriki nini kwenye hiyo fly over? alishaanzishiwa mtaa bdo tu twendelee kufanya marudio wakati kuna watu wengne waliotoa mchango. hlf kwa kizazi cha sasa tunamuenzi hata hatukumuona, hizo bara bara alizopewa zinatosha.Nafurahishwa na huo ujenzi wa flyover lakini sifurahishwi na jinsi majina ya madaraja na mabarabara yanavyopatikana.
Kwanini isiitwe Shaban Robert Flyover kwa nia ya kumuenzi mshairi mkongwe wa Tanzania?.
Kuna wazee walipigania uhuru wa nchi, kwanini madaraja na barabara zisipewe majina yao kwa nia ya kuwaenzi na kuweka hai kumbukumbu za Taifa?.
Mfugale ni msomi na anashiriki katika kuimarisha ujenzi, hilo hakuna anayelipinga, lakini wapo watu ambao hawastahili kupotea akilini mwa watu, haswa akilini mwa vijana wa kizazi cha sasa.
Shaban Robert katumika kama mfano tu mkuu. Ujumbe ni kuwaenzi watu ambao hawapaswi kusahaulika. Sisi tunakufa na wanakuja wengine, hao wanaokuja hawapaswi kutoifahamu historia ya majina muhimu kwa taifa lao.huyo Shaaban Robert ameshiriki nini kwenye hiyo fly over? alishaanzishiwa mtaa bdo tu twendelee kufanya marudio wakati kuna watu wengne waliotoa mchango. hlf kwa kizazi cha sasa tunamuenzi hata hatukumuona, hizo bara bara alizopewa zinatosha.