Nilichokishuhudia leo UDART Kimara mwisho

Nilichokishuhudia leo UDART Kimara mwisho

Ajua
Mimi siyo mfupi mimi nimepanda hewani halafu kibonge kidogo siyo kibonge sana kama lemutuz hapana mimi copirait na jb mpiana the mukulu
Mkuu umegundua madem wa kibongo wanapenda American Height,
Hawapendi kabisa watu wafupi, wenye vichwa vipana na mashavu
manene yaliyodondoka.
 
Nitumie basi lakini malipo nitakupa faranga 3400.
unapenda vitu vizuri halafu bahiri. We unadhani kumiliki mtoto laini kivile ni rahisi. Unaonea ubahiri kutoka mwekundu wakati ukiongea nae unamtumia laki si bora unipe fungu langu la kumi mapema
 
Kama tunaambiwa sehemu yenye Cherehani mbili ni kiwanda, sasa wanatuandaa tukabiliane na changamoto kama hizo.
 
unapenda vitu vizuri halafu bahiri. We unadhani kumiliki mtoto laini kivile ni rahisi. Unaonea ubahiri kutoka mwekundu wakati ukiongea nae unamtumia laki si bora unipe fungu langu la kumi mapema
Acha nitafute chenji nikutumie boss.
 
Hayo ndio matatizo ya kufanya mambo na kukataa ushindani wamezifungia daladala nyingine ili wabaki wenyewe lakini mradi wenyewe ushawashinda

Waache kuwe na biashara ya ushindani
Lengo sio kukwepa ushindani bali ni kuondoa/kupunguza foleni mjini kwa kuziondoa daladala kinachotakiwa ni kuimarisha usafiri km kuleta ushindani basi uwe ndani ya mfumo huo huo.
 
Acha nitafute chenji nikutumie boss.
msimbazi hauna chenji rusha mwekundu kamili. Nilivyokuangaikia hapa nimempigia kumsalimia ili kucheki kama namba yake ni ile ile. Toto lina sauti kama mhudumu wa bombadier
 
Waongeze mabasi barabarani na sio kuyafungia yard, magari wanayo mengi sana lakini wanaruhusu machache sana yaingie barabarani
 
Ila pia kwa nini abiria wanagombania SITI wakati hata ukisimama unawahi kufika??
Mazoea mabaya. Ilikuwa kugombania ni kwenye daladala saivi daladala kupanda hakina kugombania kivile
 
Siku kukiwa na PANICK yoyote pale, stampede watakufa watu wengi tu. Hili sijui kama wanaliona.


Kabisa na sithubutu mimi kupanda gari kimara mwisho........ kwanza ule mzunguko wa nyoka ule, pili ile watu ni wengi mno haswa ni shida saana
 
Ule upandaji kuna siku mtu atavunjika mguu au mkono
Asubuhi nilijikwaa kwenye miguu ya watu
Ile si foleni ya kawaida nilishuhudia wafanyakazi wakiwavusha free abiria baada ya zile machine kuzingua
 
Ufanyike mpango reli ya Ubungo ijengwe hadi Mbezi mwisho.
Hii itasaidia kupunguza hii tabu ya usafiri.

Train ya Ubungo iko vizuri kuzidi hao UDART kwenye huduma ya usafiri.
 
Asubuhi pale Kimara terminal huwa kuna hali mbaya ya msongamano wa abiria kuanzia kwenye kukata tickets hadi ndani kwenye kupanda ni kama vita vile abiria wanvyosukumana kupanda magari.

Sasa leo asubuhi ilikuwa hali mbaya zaidi kituoni ndani abiria wamejaa hakuna pa kukanyaga nje kwenye tickets nyomi kwenye machine za kuilingilia msongamano hatari na magari hakuna kwa hali ile kuna abiria kibao waliacha kukata ticket wakawa wanapenya kwa chini kwenye zile machine maana askari walizidiwa na abiria wengine walikuwa wanavutana mashati na askari ikawa advantage kwa watu kuingia bila kuwa na ticket.

Uongozi kwa hali ilivyo ni wazi mmeshindwa uendeshaji wa mradi huduma ni mbovu.

Hali kama hii hutokea mara kwa mara lakini kwa hakika kinachosababisha si uzembe wa uongozi wa UDART, ila ni hali halisi ilivyo jijini Dar es Salaam. Mfano nyakati za asubuhi polisi huzuia mabasi ya Mbezi kwa muda wa saa moja hadi saa moja na nusu, sasa mabasi hayo yakifika Kimara kwa pamoja hushusha abiria wengi sana.

Hali hiyo ikitokea na wakati huo huo ikiwa mabasi mengine yanayotoka mjini nayo yamezuiwa Ubungo Mataa, msongamano huwa mkubwa sana pale Kimara. Hali hiyo huwa inawasikitisha sana UDART kama ukipata nafas ya kuzungumza nao...
 
Back
Top Bottom