ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Habari ndiyo hiyo.
Hii ni tuzo ya pili kwa mradi huu wa mabasi ya BRT (UDART) ndani ya mwaka huu tu...Dar na New York wapi na wapi?
Tuzo ya meya hiyo, unapo ongelea jiji unamzubgumzia meya, km ni mkoa unamzungumzia mkuu wa mkoaTeh teh teh... bashite ndo aliopoke hiyo tuzo???
Ilisemwa kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili ya saa 3 usiku. Lazima kila mtu akubali kwamba JPM siyo wa mchezo, ni mbele kwa mbele!!