Jamani naomba kuuliza mwanafunzi mwenye principal passes mbili kwenye vyeti viwil tofauti anaweza kwenda chuo , I mean ana D mbili vyeti viwili tofauti means cheti kimoja ana D moja na kingine D moja?
Na sidhani kama mheshimiwa atatengua uteuzi kwa kashfa hii ya kughushi vyeti na ukizingatia Mh anamuamini sana hasa kwa kugeuza upepo Wa njaa kuwa madawa ya kulevya hahahaha nawaza tu
Me nadhani wateuliwa waliwasilisha vyeti vyao na kuhakikiwa sasa sijui mechanism ipi ilitumika kwa RC nadhan kwa hizi tuhuma hata ucngz unakata jaman Ndo maana JPM alisema anatamani malaika ashuke kuzima hii mitandao
Alipitia advance au Ndo ile ya kuungaunga fafanua vzr kama alipita advance anaweza kuomba kubadilishiwa akafundisha sekondari kwa ninavyoelewa lkn kwa cert, dip and degree...
Yeah but utaenda chuo uandike barua na ueleze kwanini hukuripoti then watakupa barua ikionyesha udaiwi na chuo then utapeleka TCU utafanya reapplication
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.