saede mbondela
JF-Expert Member
- Feb 28, 2013
- 368
- 237
Kuna mtu ameniambia baraza la mitihani wamebadili grades za ufaul kwa kidato cha sita
Kijana unarisiti ninwe mpuuzi! wamebadilishaje? umeshindwa kumuuliza mpaka uje kuuliza hapa?
Soma kilazaKijana unarisiti nin
Mbona umepanic
kupata uhakika kama kweli au la ingia kwenye website ya baraza la mitihaniKuna mtu ameniambia baraza la mitihani wamebadili grades za ufaul kwa kidato cha sita
kama una risit acha tu maana hzo EEE zako ni principal mwakan naona faulo imechezwa nzuli sana uki mix na ajira za uaimu wa sanaaa rahaaaa sana viva ndalichako.TCU.HESLB.NACTE.NECTAKijana unarisiti nin
Mbona umepanic
Barazani bado sijaiona hii taarifakupata uhakika kama kweli au la ingia kwenye website ya baraza la mitihani
Ni jamaa.Nyie ndio mnasababisha vurugu humu
Kwani haiwezekani kumuelewesha vizuri mpaka umuite kilaza . You are stupid thing I had never came across with beforeSoma kilaza
Ni kweli wamebadilisha grades sasa hivi kuna B+ na B plain C,D,S na F[/QUOTE
kwahiyo A hamna
Ni kweli wamebadilisha grades sasa hivi kuna B+ na B plain C,D,S na F
Mh!Kuna A. 100-81 B+ 80-71 B 70-61 C 60-51 D 50-40 S 40-21 F 20-0