The baddest of all your enemy is poverty so this is where money come in picture. Tena ukiwa na huyo mume wako fanya faster sana akufungulie mradi uusimamie kabla hazijaamia nyumba ndogo. Tukija kwenye hiyohiyo nature uliyoisema unajua sisi wanaume ni polygamy in nature?.
Ukifikiri kwa undani utagundua hata kifo kikiondolewa kwenye hiyo circle utahoji kuhusu hayo mengine ni kwa nini tunayafanya kwa sababu yatakubore as unayafanya kila siku. Fikiria upewe hii mikikimikiki ya maisha milele ni lazima itafika point ulaumu tu.
Na hata hiyo kula yenyewe ikiondolewa...
Jiulize ni kwa nini Yesu amekuwa na nguvu hivi ikiwa mnasema yeye ni mmoja wa mizimu , je hko israel si kulikuwa na mizimu mingine. Kwa miaka 2000 kwa nini azungumzwe yeye tu.
Dunia imeshapita hiyo stage ya matambiko sasa hivi ukiumwa mwenyewe unajisogeza kwenye vifaa vya kisasa Hosp.
Its the world of science and tech in supervision of Almighty God.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.