Recent content by jobel

  1. jobel

    Usain Bolt... hatumii madawa?

    VeronicaAmadu, asante sana kwa maelezo yako. Sielewi kwa nini watu waone ajabu kwa Usain Bolt kutamba ktk mchezo wa riadha! Kwa hiyo ina maana hakuna vipaji duniani, mbona marehemu Muhammad Ali alitamba ktk masumbwi kwa miaka mingi tu? Ina maana na yeye alikuwa anatumia madawa ya kumuongezea...
  2. jobel

    Serengeti Boys yapaa Shelisheli huku mchawi mweusi akitamba

    Serengeti boys leo wameua 6-0!
  3. jobel

    Kikosi cha Serengeti Boys kilichoibanjua Shelisheli ndicho kuanza kesho

    Leo wameua 6-0! Hivyo jumla ya matokeo ya match zote mbili ni 9-0!
  4. jobel

    Zitto Kabwe: Nusu ya walimu wanalipwa mishahara ya bure, hawafundishi

    Mkuu muokotamatunda, nakubariana na wewe. Tunatarajia muujiza toka kwa hawa watu ambao serikali ilishaamua kuwatelekeza siku nyingi sana.
  5. jobel

    Confession: Nimefanya sana umalaya, sasa basi

    Neemababy, kwanza nikupongeze kwa ujasiri wako wa kuyaanika mambo yako uloyafanya gizani. Mbele za Mungu hakuna lisilowezekana na tena Mungu anawatafuta wale wenye dhambi kama mimi na wewe na wengineo, ili watubu na kuuacha uovu na kumrudia yeye Mungu aliyetuumba sote. Mrudie Mungu wako naye...
  6. jobel

    Prof Euphrase Kezilahabi: Mwanazuoni anayehitajika kwenye ujenzi wa taifa hili

    Ndugu yangu Elli, kwa sasa kwa kweli taifa halina watunzi mahiri wa riwaya. Ni kweli kabisa kama alivyosema hapo juu, ukianza kusoma kitabu hicho, hutakiweka chini hadi umalize kukisoma! Kezilahabi hakika ni moja kati ya watunzi mahiri sana kuwahi kutokea Tanzania.
  7. jobel

    Zte Android haina Restart

    Asante Chief-Mkwawa kwa ushauri wako mzuri wa kiufundi.
  8. jobel

    Zte Android haina Restart

    Mkuu Chief-Mkwawa, naomba ufafanue hapo uliposhauri kwamba " ukibadiri rom unaweza kuirudisha ". Nina tatizo sawa la mkuu G spanner kwangu ni ktk simu ya nokia X2 haina hiyo feature ya ku restart. Please saidia hapo.
  9. jobel

    Lawrence Mafuru amekera sana leo kuchanganya lugha wakati akihutubia

    Tutake radhi akina chikaka mkuu MpiganiaUhuru
  10. jobel

    Bei ya screen ya Nokia XL

    Asante kwa ushauri wako mzuri mkuu.
  11. jobel

    Bei ya screen ya Nokia XL

    Wakuu, naomba kufahamu bei ya screen ya Nokia XL kwa anayefahamu. Screen ya simu yangu imevunjika. Nitashukuru kwa msaada wenu.
  12. jobel

    Msaada: Download ya biblia ya kiswahili

    Habari wakuu. Mimi ninaomba mwenye link ya biblia ya kiingereza cha sasa anipatie.
  13. jobel

    Kuna tofauti kati ya VISA na Pasport?

    Mkuu my name is my name, mkuu lup ameuliza afahamishwe kwa sababu hajui. Na kutokujua kitu si jambo la ajabu. Ungemjibu tu bila ya kumuita "mshamba" nafikiri ingependeza. JF ni sehemu ya kubadirishana mawazo na pia kupeana maarifa.
  14. jobel

    Lowassa ahutubia Baraza Kuu la CHADEMA

    Kwani wewe ni nani hata ukamhukumu mwanadamu mwenzio? Hukumu ina Mungu aliyetuumba sisi wanadamu. Tumuachie Mungu habari ya kuhukumu!
  15. jobel

    Nimeamini Mkoa wa Mara kuna busara ya hali ya juu hakuna unafiki

    Mkuu Gentamycine, chukua like kwa fujo poti
Back
Top Bottom