Pole zimfikie huyo dada..ila suala la pressure ya kuolewa kwa wadada ni tatizo kubwa nimegundua sio hapa kwetu tu mpaka nchi za wenzetu..mi ni mpenzi wa movie za kikorea na ukiangalia movie zao nyingi mwanamke asiye olewa au aliyeachwa anadharaulika sana, siku hii mindset ya heshima ya mwanamke...
Habarini wakuu,
Shamba lenye ukubwa wa ekari kumi (10) linapatikana Visiga kati wilaya ya Kibaha mkoani Pwani.
Lina miti ya aina mbalimbali kama vile mikorosho, minazi na miembe.
Kwa mawasiliano zaidi wasiliana na hizi namba;
0713 009 695 au 0765 365 326.
Asanteni.
Aiseee sijawahi kutoa comment huku ila Leo inanibidi kwanza nikuulize swali unampenda mkeo au huyo mzazi mwenzio?Hapo cha muhimu kaa chini uongee na mkeo umwambie kila kitu,yeye ndo ataamua nini cha kufanya ni bora umwambie mapema kuliko aje kusikia kwa mtu mwingine
nilitumiwa SMS whatapp kwamba majani ya mpapai yanasaidia kuponya huu ugonjwa, ni unachukua majani unayatwanga hivyohivyo halafu ule mchuzi wake ndo unakunywa vijiko viwili kwa siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.