babo hana hooja ya msingi mwalim kama ameshamaliza mda wake aruhusiwe kwenda kusoma kwani hawa DEO na wakurugenzi wana usumbufu sana, mfano kuna mwalimu moshi rural ambaye alishwekwa kwenye orodha ya watakoruhusiwa kwenda kusoma mwaka huu lakin alipokwenda kuomba release letter alikataliwa kwa...
ni swali ambalo najiuliza kila saa nakosa jibu kwani nisingekuwa member wa jf nisingejua kwamba lema alihutubia jana.kina chonishangaza ni kwamba
cjackia taaarifa yoyote kwenya tv huhusus hilo hiv ndio waandishi hawakuona pointi yoyote kwa lema au ndio kusema walihongwa wasripot chochote...
KAMA UNAMALIZA MWAKAN NADHANI UTAANZA NA HELA NZURI KIDOGO KWANI WANAOANZA MWAKA HUU MSHAHARA WAO NI 532000/ BILA MAKATO YOTOTE NAYASEMA HAYA KWANI NIMESOMA WARAKA MPYA WA SERIKALI BAADA YA NYONGEZA YA MWEZI WA SAB MWAKA HUU HIVYO BASI UTAPETA, KWENYE UALIM HAMNA KUBANWA KAMA ILIVYO JESHI CKU...
:flypig:wanajua kutiboa ni vigum mpaka pinda kazomewa c mchezo wana siasa za uchwara ndio maana mama yangu hawatoboi happo 2015 kwani kura zetu lazima tuzilinde ipasavyo kila idara na chopa :flypig:ndio zinaingia zicindikize kura na kuzilinda
:flypig:
Hii shule ipo moshi maeneo ya soko laa mbuyuni na mkuu wa shule hii anaonekana ni tapel fulan ambaye anaajiri waalimu bila mkataba wowote na cku yoyote akiamua anafukuza na hadi sasa kuna waaalim ambao amewafukuza kazi bila kuwalipa madai yao na anawapiga lkalenda kila kukicha. Yaaani hana hata...
umenikumbusah mengi safi sana najua selasin yuko tayari kuthubutu kuyasemea haya na kuyatafutia ufumbuzi.pi akuna shule moja pale tarakea inaitwa mbomai,kuna mwalimu mmoja ana mcimamo mkali dhidi ya ubadhiifu wa fedha za umma unaofanywa na mkuu wa shule marandu.kesi nyingi ziltengenezwa hapo na...
asnte sana pia m4c ucisahau manda chini ( eneo la kufanyia mkutano uwanja wa shule kimwingeni primary) unafaaa kwa shughuli hiyo sana na maeneo hayo hamna office yotote ya cdm. ni ccm 2. ngurumisha hapo sana hao mafisadi wa hapo wenyevit wa kijiji afisa mtengaji na diwani ni ccm.
eee bwana hawa majamaaa wana agenda ya siri wanayotaka kumfanyizia jembe letu lema na wanaogopa kifanyia arusha kwani itakula kwao hawa wana apolo wana hasira ile mbaya na magamba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.