Joan Joel333
Member
- Sep 13, 2012
- 22
- 1
ni swali ambalo najiuliza kila saa nakosa jibu kwani nisingekuwa member wa jf nisingejua kwamba lema alihutubia jana.kina chonishangaza ni kwamba
cjackia taaarifa yoyote kwenya tv huhusus hilo hiv ndio waandishi hawakuona pointi yoyote kwa lema au ndio kusema walihongwa wasripot chochote kuhusu lema.
kama ni hujuma zimefanywa na waandishi wa habari zitashindwa kwani tayari wanamkubali kuliko wanavyodhani
[pia wadau labda ni mm ckuona kitu lakin cjaona ebu nihabarisheni] au nyie mmeona?
tbc1/ccm/ haikubaliki.............tushirikiane ekuitokomeza