wewe unaeweka misiba mbele kuliko mambo ya maendeleo unapaswa kuogopwa kama ukoma!m4c ni pamoja na kutambua fursa na vikwazo vinavyowakumba wananchi ili kuvifanyia kazi!unategemea kwny msiba wa babake kamanda Lisu chdm wote waende?PAMBAFU YAKO!haya mambo ya kukumbatia misiba ni vikwazo ktk maendeleo,ndo maana wawekezaji toka nje hawaajiri watz kwa sababy ya misiba icyoisha!
Sasa Mpumbavu ni nani anyeshikilia tamaduni za nje au yule anayefata tamaduni zake?