Recent content by Joackim Joseph

  1. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hiyo game itahairishwa
  2. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ila kuna mkenya aliibutua anaitwa bass kumbukeni
  3. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hongera
  4. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji Tanzania kupitia Online Marketing

    Ndugu mbona kimya
  5. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Uwekezaji Tanzania kupitia Online Marketing

    Karibu wana JF tupeane mawazo ya kuwekeza katika online marketing mfano kuwengeneza website kama jumia kupatana facebook twitter youtube whatsapp halloapp Tuwe na sisi na vya kwetu sio kutegemea vya wenzetu. Karibu tujadiri kwa undani. Natanguliza shukurani.
  6. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    kubeti kazi asikwambie mtu
  7. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Baadhi ya njia unazoweza kutumia kupata wazo bora la biashara (Business Idea)

    Waulize jumia marketing wako wapi Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Je hizi APP zinapokeaje malipo yao?

    Baada ya kununua na Mark WhatsApp ikawa hailipiwi dunia nzima ila hapo mwanzo ilikuwa inalipiwa kiasi Cha $0.99 kwa mwaka
  9. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Je hizi APP zinapokeaje malipo yao?

    Faida wanayoipata makampuni makubwa ya mtandaoni Kama vile Facebook, Google, YouTube, Twitter, N.k. faida inatokana na matangazo(ads)yanayopatikana kwenye website husika mf. Unapoangalia video YouTube kunatangazo linatokea mwanzo, katikati, mwisho mwa video basi kilo tangazo ndio faida ya...
  10. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Je hizi APP zinapokeaje malipo yao?

    sio kweli hata mm niliamini hivyo zamani.
  11. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Vodacom msijisahau, kuweni washindani

    nakumbuka niliokota kadi moja ya benk Fulani hapa bongo Nika idukua na kufanya manunuzi ya yenye thamani ya Dola 269 mtandaoni
  12. Joackim Joseph

    JamiiForums Tanzania Chief Mkwawa na wengine mnaionaje hii simu?

    ipo vizuri ila Soma maoni ya watu walionunua kabla ya kununua
Back
Top Bottom