Karibu wana JF tupeane mawazo ya kuwekeza katika online marketing mfano kuwengeneza website kama
jumia
kupatana
facebook
twitter
youtube
whatsapp
halloapp
Tuwe na sisi na vya kwetu sio kutegemea vya wenzetu.
Karibu tujadiri kwa undani.
Natanguliza shukurani.
Faida wanayoipata makampuni makubwa ya mtandaoni Kama vile Facebook, Google, YouTube, Twitter, N.k. faida inatokana na matangazo(ads)yanayopatikana kwenye website husika mf. Unapoangalia video YouTube kunatangazo linatokea mwanzo, katikati, mwisho mwa video basi kilo tangazo ndio faida ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.