Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,906
- 33,484
Huwa natamani sana ninunue tablet hasa ya kampuni ya Samsung ambayo ntakuwa napiga na kupokea simu pia.
Sasa katika kufanya utafiti nmekutana na hii kwenye mtandao wa ebay, sijui mnaionaje wadau ushauri wenu tafadhali kabla sijajilipua kutuma hela.
Sasa katika kufanya utafiti nmekutana na hii kwenye mtandao wa ebay, sijui mnaionaje wadau ushauri wenu tafadhali kabla sijajilipua kutuma hela.