Nimefurahi nimesikia Tanzania tumejiunga na mataifa mengine kusimamisha usafirishaji wa ngozi ya punda lakini kenya bado wameruhusu kusafirisha ndiyo maana wanaibiana punda na wanakuja mpaka kwetu kuiba punda
Nimeanglia documentary kwenye channel ya france 24 punde kumbe nyuma ya pazia wachina kufanya biashara ya nyama ya punda africa ni ngozi ya punda yenye thamani kubwa na inatengeneza dawa iitwayo
Ejiao china inayosaidia mzunguko wa damu,kinga dhidi ya cancer na nguvu za kiume!
Habari wadau nina kampuni ndogo ya kama malori 10 hivi nahitaji mtu wa kuanza nae na kukuwa nae kwenye kampuni yangu mwenye ujuzi wa logistic,accounts record na mawasiliano mazuri ya lugha ya kiingereza na kutumia computer ahsante
Mohamed lardhi
0652222222
0773222222
Na kama lissu anaombewa na watanzania wengi apone haraka arudi kwenye majukumu yake je atarudi tanzania na ulinzi kutoka kenya ?maana ni zaidi ya ufala kutotoa ushirikiano kwa jeshi la ulinzi wa nchi yako tanzania!
Wadau,
Kama mada husika hapo nina shamba kubwa la mihogo changamoto kubwa niliyonayo ni nguruwe usiku wanafanya uharibufu.
Naomba mawazo na maarifa ya kuwadhibiti
Ahsanteni
Tena tajiri na maskini wote tunazikwa utaratibu mmoja na sanda ya buku final kokote tutakuswalia na yeyote atakuzika muhimu ajue utaratibu so simple
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.