Ngozi ya punda ina thamani kubwa China

Ngozi ya punda ina thamani kubwa China

jm group

Senior Member
Joined
Jan 10, 2015
Posts
118
Reaction score
83
Nimeanglia documentary kwenye channel ya france 24 punde kumbe nyuma ya pazia wachina kufanya biashara ya nyama ya punda africa ni ngozi ya punda yenye thamani kubwa na inatengeneza dawa iitwayo
Ejiao china inayosaidia mzunguko wa damu,kinga dhidi ya cancer na nguvu za kiume!
 
Nimepata kuzuru China kwa ziara fupi ya miezi mitatu. Hawa jamaa ni bingwa wa kula... They eat nearly everything. Kwa huku kwetu Africa ni vitu ambavyo haviwezi hata kufikirika.... Supu ya kiota cha mbayuwayu, mbwa, kenge, kakakuona, mende, konokono, farasi, bilulu, nyoka aina zote, minyoo, mabuu.. Etc
 
Nimeanglia documentary kwenye channel ya france 24 punde kumbe nyuma ya pazia wachina kufanya biashara ya nyama ya punda africa ni ngozi ya punda yenye thamani kubwa na inatengeneza dawa iitwayo
Ejiao china inayosaidia mzunguko wa damu,kinga dhidi ya cancer na nguvu za kiume!


Fanya mchakato ufuatilie na matumizi ya gall stones za ng'ombe na uume wa ng'ombe maana wachina wanagombania hizi bidhaa hapa Tanzania, pia wameanza kwa kasi kununua abomasum za mbuzi kwa wingi
 
Nimepata kuzuru China kwa ziara fupi ya miezi mitatu. Hawa jamaa ni bingwa wa kula... They eat nearly everything. Kwa huku kwetu Africa ni vitu ambavyo haviwezi hata kufikirika.... Supu ya kiota cha mbayuwayu, mbwa, kenge, kakakuona, mende, konokono, farasi, bilulu, nyoka aina zote, minyoo, mabuu.. Etc
Mkuu naomba ufafanuzi kuhusu SUPU YA KIOTA CHA MBAYUWAYU.
 
Fanya mchakato ufuatilie na matumizi ya gall stones za ng'ombe na uume wa ng'ombe maana wachina wanagombania hizi bidhaa hapa Tanzania, pia wameanza kwa kasi kununua abomasum za mbuzi kwa wingi
Obomasum ni kitu gani?
 
Nimepata kuzuru China kwa ziara fupi ya miezi mitatu. Hawa jamaa ni bingwa wa kula... They eat nearly everything. Kwa huku kwetu Africa ni vitu ambavyo haviwezi hata kufikirika.... Supu ya kiota cha mbayuwayu, mbwa, kenge, kakakuona, mende, konokono, farasi, bilulu, nyoka aina zote, minyoo, mabuu.. Etc
Na machavichavi...na kila kila aina ya ujinga mchina anakula!
 
Wachina wanacho niudhi ni wasiri sana na hawapendi kupanda pale wanapochuma!
Ehh Maulana Mola wangu ibaraki nchi yangu Tanzania na watu wake!
Tujalie hekima na ufahamu sisi na vizazi vyetu milele yote!
 
Nimefurahi nimesikia Tanzania tumejiunga na mataifa mengine kusimamisha usafirishaji wa ngozi ya punda lakini kenya bado wameruhusu kusafirisha ndiyo maana wanaibiana punda na wanakuja mpaka kwetu kuiba punda
 
Back
Top Bottom