Kwenda kwa mganga haitoi jibu ya kiwango cha usomi wako ila ni kwa kiwango gani umesimama kwa imani ipi kama unaamini zaidi kimagharibi basi utaukosoa usomi wake ila ukiamini kama walivyo amini babu zetu basi msomi huyo atakuwa sawa ni sawa na ww kwenda hospital kutibiwa kwanini uende hospital...
Kama kichwa hapo juu kinavyo eleza nafuta wateja wa jumla nitakao kuwa nawauzia sabuni kutoka kigoma kwa bei ya jumla kwa bei poa.
Sabuni hizi hutengenezwa kigoma ni nzuri kwa kuogea huondoa chunusi mabaka pia hulainisha ngozi kwa kufulia pia ni bora kwani hutoa povu jingi kwa sehemu...
Je alichokifanya kenyata siyo kuvunja katiba ya kenya maana kama katiba inazungumza kujiapisha ni kinyume na katiba na kenyata ameapa kuilinda katiba iyo je kushindwa kuilinda katiba si inatosha kumuondoa madarakani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.