radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Ndiyo maana ya Kiongozi wa Nchi, wale sio adui ni raia wake pia, Na ndiyo maana nzima ya democracy, ameheshimu mawazo na ametegua mtego wa machafuko yaliyokuwa yanaenda kuinyemelea Kenya..
Wanavyopendaga sifa hapa? Siku ambayo Odinga ametangaza tarehe ya kujiapisha, yangefanyika mazoezi vitisho, mikwara mingi mingi.,, kama ile ya UKUTA tu ilikuwa mbwembwe nyingi,..
Kuna kitu Wakenya na Rais wao wametuzidi sio mbaya tukijifunza!? Odinga ameridhika na wafuasi wake wameridhika ameenda zake kwenye Ikulu yake nyumbani kwake, hana jeshi, hana baraza la mawaziri, wala hana chochote cha kufanya kuwa Rais mwenye mamlaka na Kenya, wamempuuzia na ameridhika, ni Rais wa watu ndicho kiapo chake kilivyofanyika..
Unadhani Kenyatta bila kutegua fumbo hilo kwa sasa Kenya ingekuaje? Kenyatta hausiani kabisa na ile kauli ya Trumph, 'shithole'
Wanavyopendaga sifa hapa? Siku ambayo Odinga ametangaza tarehe ya kujiapisha, yangefanyika mazoezi vitisho, mikwara mingi mingi.,, kama ile ya UKUTA tu ilikuwa mbwembwe nyingi,..
Kuna kitu Wakenya na Rais wao wametuzidi sio mbaya tukijifunza!? Odinga ameridhika na wafuasi wake wameridhika ameenda zake kwenye Ikulu yake nyumbani kwake, hana jeshi, hana baraza la mawaziri, wala hana chochote cha kufanya kuwa Rais mwenye mamlaka na Kenya, wamempuuzia na ameridhika, ni Rais wa watu ndicho kiapo chake kilivyofanyika..
Unadhani Kenyatta bila kutegua fumbo hilo kwa sasa Kenya ingekuaje? Kenyatta hausiani kabisa na ile kauli ya Trumph, 'shithole'