Recent content by jjz

  1. J

    Dhana ya kutokula nyama siku ya Ijumaa Kuu kwa wakristo ni imani potofu

    OK vizuri kumbe ni taratibu za Kanisa na wala sio msimamo wa biblia takatifu. Hapo nimekuelewa ubarikiwe
  2. J

    ICHEKI ORODHA YA WACHEZAJI WA KITANZANIA WANAOCHEZA NJE YA BONGO

    Kuna mmoja yuko Italy ngoja nitafute jina lake
  3. J

    Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

    Siku hizi binadamu walio umbwa na Mungu kwa mfano wake ndo hao hao wanaongeza madudu ktk biblia na ukiuliza imeandikwa wapi hutapata majibu zaidi tu utaambulia matusi na kejeli za kijinga ila tukumbuke Mungu wetu habadiliki wala si kigeugeu alichoamuru na kutuagiza sisi kufanya hakitabadilishwa...
  4. J

    Nimeamua Kuuza Kiwanja Changu Mwanza kwa Bei ya Chini ili Kugharamia Matibabu

    Naomba mwenyekuthibitisha hili tupange namna ya kumsaidia hili ni tatizo kubwa sana hata sisi tuio nje ya Mwanza tunaweza kuchangia naomba Muongozo tafadhari
  5. J

    Rais Magufuli amtumbua Naibu Waziri Suzan Kolimba, Dkt. Ndumbaro aula

    Mpaka yesu atakaporudi duniani wateule wake
  6. J

    Kama AMRI 10 na sio Sheria za Musa tu ziliishia Msalabani; nini Maana ya DHAMBI kwa dunia?

    Jamani amri kumi hizi hapa 100% thanks Sent using Jamii Forums mobile app
  7. J

    Ni mchambuzi gani bora wa michezo Tanzania?

    Don ulichokieleze ndo ukweli wenyewe
  8. J

    Mahakama yamruhusu mwalimu Oluoch (Msabato) kutokushiriki usafi siku ya Jumamosi ya mwisho wa mwezi

    Uko sahihi Jamani Bible iko wazi kabisa kwanini tusiisome tuuelewe ukweli Ili tuwe huru
  9. J

    Jifunze hapa: Namna nilivyoanza mpaka nilipofikia. Unaweza kupata kitu

    Hongera sana rafiki MUNGU azidi kubariki kazi ya mikono yako zidi kumtegemea MUNGU wetu ni mwaminifu atakufikisha mbali Sent using Jamii Forums mobile app
  10. J

    Mwalimu wa kiingereza

    Wakuu poleni kwa mihangaiko ya kila siku, Natafuta mwalimu/taasisi mzuri ya kufundisha kiingereza cha kuongea huko mwanza kuna jamaa yangu anahitaji sana. Ubarikiwe Sent using Jamii Forums mobile app
  11. J

    Ifahamu Sayari Ambayo kila mtu and Uwezo wa kwenda bila gharama yeyote.

    Aisee uko juu nimesoma toka mwanzo nikawa natamani kuifahamu hiyo sayari sijaruka neno ili nisije nikairuka sayari bila kuisoma Ubarikiwe kitumie hichi kipaji utafika mbali Sent using Jamii Forums mobile app
  12. J

    KIBITI: Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mangwi wauawa kwa kupigwa risasi

    Aisee.....!!!!! Yani watanzania wenzako wanauawa kinyama hivyo wewe unafurahia hadi unawaomba wasogee mikoa mingine Naona hujipendi
  13. J

    KIBITI: Mtendaji wa Kijiji na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mangwi wauawa kwa kupigwa risasi

    Hawa Jamaa uwezo wa kufanya haya wanayofanya wana utoa wapi??? Poleni sana wanafamilia mlio fiwa
  14. J

    Nampenda msichana fulani lakini ana boyfriend

    Neno La MUNGU linasema USIZINI
  15. J

    Hapa zinasukwa nywele au ngozi huu ni unyanyasaji watoto!!!!

    Hii staili ilishawahi kuua mtoto tena mwaka huu
Back
Top Bottom